Rais wa  Burkina Faso, Blaise Compaoré akisalimiiana na Ujumbe wa Waasi wa Mali
MALI

Serikali ya Mali na kundi la Tuareg watia saini kusitisha mapigano nchini Mali

Serikali ya Mali imesaini makubaliano ya kusitisha mapigano na Kundi la Tuareg ambalo linashikilia eneo la Mji wa Kidal ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha wananchi wanapata haki ya kushiriki kwenye uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Julai.

Syndicate contentMichezo
Timu ya Nigeria ikichuana na Tahiti nchini Brazili
18/06/2013 - Brazili

Mabingwa soka barani Afrika Nigeria wameanza vizuri michuano ya mabara inayoendelea nchini Brazil baada ya kuifunga Tahiti mabao 6 kwa 1 katika mchuano wa kundi B.

18/06/2013 - Sudani

Michuano ya soka kuwania ubingwa wa klabu bora katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati inafungua milango yake hii leo  katika majimbo ya Darfur na Koridafn Kusini nchini Sudan.

Michuano ya CECAFA hufadhiliwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame
17/06/2013 - SUDANI

Makala ya mwaka huu ya michuano ya kuwania ubingwa wa klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati linalofadhiliwa na rais wa Rwanda Paul Kageme yaanaza kesho Jumanne katika jimbo la Darfur na Kordofan ...

Mchezaji wa Cote d Ivoire, Yahya Toure aliyepeleka kilio Taifa Stars ya Tanzania
17/06/2013 - WORLD CUP QUALIFYER-AFRIKA

Mataifa ya Misri, Ethiopia, Cote dvoire , Tunisia na Algeria yamekuwa ya kwanza kufuzu katika mzunguko wa mwisho wa kutafuta tiketi ya kufuzu kwa kombe la dunia nchini Brazil baada ya kushinda ...

kikosi cha Taifa Stars cha Tanzania kitakachovaana na Cote d' Ivoire
16/06/2013 - MICHEZO

Hatimaye ule mchezo uliongojewa kwa hamu baina ya timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars na ile ya Cote d'Ivoire kutimua vumbi katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ...

Syndicate contentHabari RFI-Ki
Syndicate contentSauti za Busara

Close