Serikali ya Mali imesaini makubaliano ya kusitisha mapigano na Kundi la Tuareg ambalo linashikilia eneo la Mji wa Kidal ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha wananchi wanapata haki ya kushiriki kwenye uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Julai.
Mabingwa soka barani Afrika Nigeria wameanza vizuri michuano ya mabara inayoendelea nchini Brazil baada ya kuifunga Tahiti mabao 6 kwa 1 katika mchuano wa kundi B.
Michuano ya soka kuwania ubingwa wa klabu bora katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati inafungua milango yake hii leo katika majimbo ya Darfur na Koridafn Kusini nchini Sudan.
Makala ya mwaka huu ya michuano ya kuwania ubingwa wa klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati linalofadhiliwa na rais wa Rwanda Paul Kageme yaanaza kesho Jumanne katika jimbo la Darfur na Kordofan ...
Mataifa ya Misri, Ethiopia, Cote dvoire , Tunisia na Algeria yamekuwa ya kwanza kufuzu katika mzunguko wa mwisho wa kutafuta tiketi ya kufuzu kwa kombe la dunia nchini Brazil baada ya kushinda ...
Hatimaye ule mchezo uliongojewa kwa hamu baina ya timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars na ile ya Cote d'Ivoire kutimua vumbi katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ...