Mke wa rais wa Ufaransa  Valerie Trierwiler akiwa ziarani nchini Mali
MALI

Mali yahitaji msaada zaidi wa kibinadamu

Mke wa rais wa Ufaransa bi Valerie Trierweiler amesema kuwa ameguswa sana na hali ya mambo nchini Mali baada ya kukamilisha ziara yake ya saa 48 katika taifa hilo lenye vita na koloni la kale la nchi yake.

 

Syndicate contentMichezo
Mtanange kati ya Real Madrid na Atletico Madrid
18/05/2013 - ULAYA

Timu ya Atletico Madrid imeshinda kombe la kumi la Uhispania jana Ijumaa baada ya kuichapa vibaya timu pinzani ya Real Madrid kwa magoli 2-1 katika muda wa ziada wakati wa mechi ambayo ...

Simba na Yanga
17/05/2013 - Tanzania

Mtanange wa ligi kuu ya Vodacom kati ya watani wa jadi Simba na Yanga za nchini Tanzania unatarajiwa kutimua vumbi kesho Jumamosi kwenye uwanja wa taifa hilo jijini Dar es Salaam.
 

Mshindi wa tour de France mwaka 2012 Bradley Wiggins
17/05/2013 - ITALIA

Mshindi wa mwaka uliopita wa mashindano ya mbio za baskeli yajulikanayo kama Tour de France Bradley Wiggins amejiondoa katika mshindano ya Giro d'Italia kutokana na matatizo ya kiafya, timu yake ...

David Bechkam
16/05/2013 - ULAYA

Mchezaji wa kimataifa wa Uingereza David Beckam aliyekuwa anakipiga na Paris Saint German, ametangaza kuwa atastaafu soka la kulipwa la kimataifa.

 

Bingwa namba tatu wa tennis duniani Andy Murray
16/05/2013 - Michezo

Bingwa namba mbili duniani kwenye mchezo wa tennis Andy Murray amekiri kwamba anweza akakosa mashindano ya French Open kutokana na jeraha la muda mrefu ambalo lilimlazimisha kujiondoa kwenye ...

Syndicate contentHabari RFI-Ki
Syndicate contentSauti za Busara

Close