Syndicate contentMichezo
20/05/2012 - ULAYA

Kile kindumbwendumbwe cha kusaka klabu bingwa barani Ulaya kimefikia tamati hapo jana huku klabu ya Chelsea ikiibuka kuwa bingwa mpya wa Ulaya kwa mwaka 2012 baada ya kuishinda timu ya Bayern ...

Wachezaji wa timu ya Simba Sports Club wakibeba jeneza la mechezaji mwenzao marehemu Patrick mutesa mafisango
19/05/2012 - RWANDA-Tanzania-DRCongo

Maelfu ya watu wamejitokeza jana kwenye viwanja vya TCC Club Chang'ombe jijini Dar Es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliekuwa kiungo wa Club ya ya soka ya Simba Sports Club ...

Mchezaji wa Manchester City, Carlos Tevez akiwa na kocha wako, Roberto Mancini
15/05/2012 - Uingereza

Timu ya Manchester City imemuomba radhi Kocha wa Manchester United ,Alex Ferguson baada ya mchezaji wa Man Cuty, Carlos Tevez kuonesha ishara ya kumkejeli Ferguson wakati wa Shamrashamra za baada ...

kikosi cha Twiga Stars cha Tanzania
13/05/2012 - TANZANIA-ZIMBABWE

Timu ya soka ya wanawake ya nchini Tanzania imeangukia pua jana mara baada ya kukubali kichapo cha 4-1 toka kwa kina dada wa Zimbabwe katika mchezo wa kimataifa uliofanyika kwenye uwanja wa taifa ...

Kocha Roberto Mancini wa Manchester  City na kocha  Alex Ferguson wa Mancester United
12/05/2012 - UINGEREZA

Msimu wa ligi kuu ya Uingereza kwa mchezo wa soka msimu wa mwaka 2011/2012 unamalizika leo,huku macho yakiangazia mchuano kati ya Manchecter City na Manchecster United ambao wote wanawania taji ...

Syndicate contentHabari RFI-Ki
Syndicate contentSauti za Busara

Close