Rais wa Sudan Omar Al Bashiri amesema kuwa ipo haja ya kuwa na amani kati ya Sudani na Sudani Kusini na kwamba Sudani inadhamira ya dhati katika mikataba ya amani ambayo imesaini.
Kile kindumbwendumbwe cha kusaka klabu bingwa barani Ulaya kimefikia tamati hapo jana huku klabu ya Chelsea ikiibuka kuwa bingwa mpya wa Ulaya kwa mwaka 2012 baada ya kuishinda timu ya Bayern ...
Maelfu ya watu wamejitokeza jana kwenye viwanja vya TCC Club Chang'ombe jijini Dar Es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliekuwa kiungo wa Club ya ya soka ya Simba Sports Club ...
Timu ya Manchester City imemuomba radhi Kocha wa Manchester United ,Alex Ferguson baada ya mchezaji wa Man Cuty, Carlos Tevez kuonesha ishara ya kumkejeli Ferguson wakati wa Shamrashamra za baada ...
Timu ya soka ya wanawake ya nchini Tanzania imeangukia pua jana mara baada ya kukubali kichapo cha 4-1 toka kwa kina dada wa Zimbabwe katika mchezo wa kimataifa uliofanyika kwenye uwanja wa taifa ...
Msimu wa ligi kuu ya Uingereza kwa mchezo wa soka msimu wa mwaka 2011/2012 unamalizika leo,huku macho yakiangazia mchuano kati ya Manchecter City na Manchecster United ambao wote wanawania taji ...