Jumuiya ya Nchi za Kiarabu inatarajia kuendelea na Shinikizo lake la kusaka uungwaji mkono kutoka kwa Umoja wa Mataifa UN lengo likiwa ni kutaka kusitishwa kwa umwagaji wa damu ambao umekuwa ukishuhudiwa.
Timu ya taifa ya Cote D'Ivoire imekuwa timu ya pili kuweza kukata tiketi ya kutika katika hatua ya Robo Fainali ya Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kupata ushindi wa magoli 2-0 ...
Kocha Mkuu wa Klabu ya RealMadrid Jose Mourinho amesema baadhi ya wachezaji wake wanaamini kuwa ni vigumu kupata ushindi mbele ya Barcelona hasa ukicheza nao kwenye Dimba la Nou Camp.
Wenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika Equatorial Guinea imekuwa nchi ya kwanza kufuzu katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya mwaka huu baada ya kupata ushindi wa magoli 2-1 mbele ya ...
Mchezaji Tennis nambari nne kwa ubora duniani Andy Murray amefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Mashindano ya Australian Open baada ya kumfunga Kei Nishikori na anatarajiwa kupambana na ...
Kikosi cha Timu ya taifa Ghana maarufu kama Black Stars kimeanza vyema harakati zake za kusaka Ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka huu baada ya kupata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ...