Mke wa rais wa Ufaransa bi Valerie Trierweiler amesema kuwa ameguswa sana na hali ya mambo nchini Mali baada ya kukamilisha ziara yake ya saa 48 katika taifa hilo lenye vita na koloni la kale la nchi yake.
Timu ya Atletico Madrid imeshinda kombe la kumi la Uhispania jana Ijumaa baada ya kuichapa vibaya timu pinzani ya Real Madrid kwa magoli 2-1 katika muda wa ziada wakati wa mechi ambayo ...
Mtanange wa ligi kuu ya Vodacom kati ya watani wa jadi Simba na Yanga za nchini Tanzania unatarajiwa kutimua vumbi kesho Jumamosi kwenye uwanja wa taifa hilo jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa mwaka uliopita wa mashindano ya mbio za baskeli yajulikanayo kama Tour de France Bradley Wiggins amejiondoa katika mshindano ya Giro d'Italia kutokana na matatizo ya kiafya, timu yake ...
Bingwa namba mbili duniani kwenye mchezo wa tennis Andy Murray amekiri kwamba anweza akakosa mashindano ya French Open kutokana na jeraha la muda mrefu ambalo lilimlazimisha kujiondoa kwenye ...