Mpatanishi wa Mzozo wa Syria, Koffi Annan
Syria

Msafara wa Waangalizi wa UN washambuliwa Nchini Syria

Msafara wa Waangalizi wa Umoja wa Mataifa UN waliopo nchini Syria umeshambuliwa na kusababisha uharibifu wa magari matatu wakati waaangalizi hao wakihudhuria mazishi ya watu ishirini wanaotajwa kuuawa na Utawala wa Rais Bashar Al Assad.

Syndicate contentMichezo
Mchezaji wa Manchester City, Carlos Tevez akiwa na kocha wako, Roberto Mancini
15/05/2012 - Uingereza

Timu ya Manchester City imemuomba radhi Kocha wa Manchester United ,Alex Ferguson baada ya mchezaji wa Man Cuty, Carlos Tevez kuonesha ishara ya kumkejeli Ferguson wakati wa Shamrashamra za baada ...

kikosi cha Twiga Stars cha Tanzania
13/05/2012 - TANZANIA-ZIMBABWE

Timu ya soka ya wanawake ya nchini Tanzania imeangukia pua jana mara baada ya kukubali kichapo cha 4-1 toka kwa kina dada wa Zimbabwe katika mchezo wa kimataifa uliofanyika kwenye uwanja wa taifa ...

Kocha Roberto Mancini wa Manchester  City na kocha  Alex Ferguson wa Mancester United
12/05/2012 - UINGEREZA

Msimu wa ligi kuu ya Uingereza kwa mchezo wa soka msimu wa mwaka 2011/2012 unamalizika leo,huku macho yakiangazia mchuano kati ya Manchecter City na Manchecster United ambao wote wanawania taji ...

Rafael Nadal (kulia) akiwa na Novak Djokovic (kushoto) wakiwa na vikombe vya kwenye mashindano ya Monte
11/05/2012 - TENESI

Wachezaji Tennesi maarufu duniani Rafael Nadal na Novak Djokovic wametishia kujitoa kushiriki kweny mashindano ya mwakani ya Madrid Master kwa kile walichodai uwanja kutokuwa na kiwango.

Mabondia Peterson na Amir Khan ambao pambano lao limeahirishwa
10/05/2012 - NDONDI

Pambano la ngumi la uzito wa Light-welterweight kati ya mabondia Amir Khan na mpinzani wake Lamont Peterson limeahirishwa baada ya Peterson kubainika kutumia dawa zisizofaa mchezoni.

Syndicate contentHabari RFI-Ki
Syndicate contentSauti za Busara

Close