Pata taarifa kuu

Ratiba ya mechi 32 za CAN 2015 Equatorial Guinea

Michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika 2015
Imehaririwa: 02/06/2016 - 09:26

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika itachezwa kuanzia Januari 17 hadi Februari 8 mwaka 2015 nchini Equatorial Guinea, baada ya Morocco kukataa kuandaa mashindano haya. Mechi 32 zitachezwa katika miji ya Malabo, Bata, Mongomo na Ebibeyin.

Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.