BURUNDI-Siasa
Burundi yaadhimisha miaka 52 ya uhuru
Burundi leo inaadhimisha miaka 52 ya uhuru wake, akilihutubia taifa hapo jana rais Pierre Nkurunziza ameeleza kuridhishwa na kuona sikukuu hii inafanyika huku mswada wa sheria kuhusu tume ya ukweli na maridhiano CVR ikiwa imekwisha sainiwa na kuahidi kwamba mnamo mwezi julai watakaounda tume hiyo watakuwa tayari wamekwisha fahamika.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 02:23