BURUNDI-Siasa
Burundi: Pierre Nkurunziza awonya baadhi ya wanasiasa
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, jumanne wiki hii, ametimiza miaka 4 tangu achaguliwe kuiongoza Burundi kwa muhula wa pili. Katika hotuba yake kwa taifa, Pierre Nkurunziza, amewataka wananchi kujiandaa kwa uchaguzi ujao na kuwatahadharisha wale wanaokusudia kupotosha uchaguzi huo.
Imechapishwa:
Cheza - 05:15