Pata taarifa kuu
BURUNDI-Siasa

Burundi: Pierre Nkurunziza awonya baadhi ya wanasiasa

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, jumanne wiki hii, ametimiza miaka 4 tangu achaguliwe kuiongoza Burundi kwa muhula wa pili. Katika hotuba yake kwa taifa, Pierre Nkurunziza, amewataka wananchi kujiandaa kwa uchaguzi ujao na kuwatahadharisha wale wanaokusudia kupotosha uchaguzi huo.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza. REUTERS/Stringer
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.