UGANDA-AL SHABAB-Usalama
Uganda: washukiwa wa Al Shabab wakamatwa
Polisi nchini Uganda imetangaza kuwatia nguvuni washukiwa wa kundi la Al-shabaab wenye asili ya Kisomalia huku ubalozi wa Marikani ukionya raia wake kuwa makini nchini humo. Wadadisi nchini humo wamesema kuwa ili kumaliza kundi hilo lazima nchi za ukanda wa Afrika Mashariki kushirikiana.
Imechapishwa:
Cheza - 02:44