RWANDA-GRUNETI-USALAMA
Mripuko wa gruneti wawaua watu watatu Rwanda
Wakati ulimwengu ukijiandaa kuupokea mwaka mpya wa 2015, magharibi mwa Rwanda kumetokea mlipuko wa Guruneti Jumatano Desemba 31 mwaka 2014, na kugharimu maisha ya watu watatu. Kutoka Kigali mwanahabari wetu Bryson bichwa anaarifu zaidi.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 02:35