Tamasha la Muziki Tanzania
RFI Talent inakuletea nchini Tanzania " Electro Bamako".Pata uhondo kupitia vijana watatu kutoka Mali na Ufaransa watakaokuliwaza katika tamasha la Muziki litakalofanyika : - Machi 26 mwaka 2015, katika Ukumbi wa Alliance Française mjini Dar es Salaam. - Machi 28 mwaka 2015, katika Ukumbi wa Alliance Française mjini Arusha.Taarifa zaidi, tembelea : www.afdar.com