Kimbunga kikali ambacho kimepiga nchini Marekani hasa upande wa Mashariki mwa Taifa hilo kinachotambulika kwa jina la Sandy kimesababisha vifo vya watu kumi na sita wakiwemo watoto watatu huku ...
Kimbunga kinachombatana na mchanga na kupiga ufukweni nchini Marekani kimeshuhudia miji kadhaa ikikumbana na madhara na tayari serikali ya Washington imewataka wananchi kuchukua tahadhari ...
Wapigambizi na Kikosi Maalum cha Waokoaji nchini India wameendelea na zoezi la kusaka manusura wa ajali ya kivuko kilichozama katika Mto Brahmaputra uliopo kwenye Jimbo la Assam na kusababisha ...
Canada imekuwa nchi ya kwanza kujiondoa rasmi kwenye utekelezaji wa Mkataba wa Kyoto wa mwaka elfu moja mia tisa na tisini na saba ukiwa na lengo la kudhibiti Mabadiliko ya Tabia Nchi pamoja na ...
Mashirika ya misaada yameendeleza juhudi za kuwapatia chakula, waathirika wa baa la njaa nchini Somalia na Umoja wa Afrika, umepanga kukutana jijini Adiss Ababa kujadili namna ya kukabiliana na ...
Mkuu wa Majeshi wa zamani wa Bosnia Jenerali Ratko Mladic yuko kizimbani , The Hague Uholanzi, mbele ya majaji wanaosikiliza kesi za mauaji ya kimbari ya iliyokuwa Yugoslavia.