Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa suala la amani kati ya israel na palestina linapewa kipaumbele wakati huu ambapo a,ekutana na waziri mkuu wa Israel Benjamin ...
Mataifa ya magharibi yamemtaka rais wa Syria Bashar al-Asad kuhakikisha anashiriki kwenye suluhu ya kupata amani nchini humo na kuonya kuwa iwapo atashindwa kuzungumza kuhusu kuundwa kwa serikali ...
Jitihada za Vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya kusafisha mji wa Oklahoma nchini Marekani huku matumaini ya kuwapata watu wengine wakiwa hai yakitoweka kutokana na kukamilika kwa sehemu ...
Serikali ya Marekani imesisitiza kuwa ingali na ushirikiano wa karibu na mataifa yote ya bara Afrika ikiwemo Kenya, baada ya madai kuzuka kuwa Marekani huenda inajitenga na Kenya baada ya ...
Kimbunga kikubwa cha Tornado kimeukumba mji wa Oklahoma mapema leo Jumatatu na kubomoa vitalu vya nyumba, shule mbili na kuua takribani watu 91 ikiwa ni pamoja na watoto 20, viongozi wa mitaa ...
Watu sitini wamejeruhiwa watano kati yao wanahalimbaya baada ya treni za abiria kugongana katika kitongoji cha Kaskazini mwa jiji la New York nchini Marekani.
Rais wa Marekani Barack Obama amewahimiza wabunge wa Congress kuongeza bajeti itakayowezesha kuimarisha usalama katika balozi zake Indianian kote ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka raia wanne wa nchi ...
Rais wa Marekani Barack Obama amesema serikali yake haiwezi kuvumilia kashfa inayowakabili wanafanyakazi wa kitengo cha kukusanya kodi wanaodaiwa kuwa wabadhirifu.
Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...