Amerika

Syndicate contentAMERIKA
Nguli wa fasihi ya Afrika na mwandishi bingwa wa Vitabu kutokea nchini Nigeria Chinua Achebe,maisha yake yamefika ukomo akiwa na umri wa miaka 82
23/05/2013 - NIGERIA

Maelfu wamzika mkongwe wa fasihi Afrika,Chinua Achebe

Maelfu ya waombolezaji wamehudhuria mazishi ya mwandishi mkongwe barani Afrika na anayefahamika duniani Chinua Achebe kutoka nchini Nigeria.

Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza,William Hague
23/05/2013 - UINGEREZA-MASHARIKI YA KATI-

Waziri Hague aipa kipaumbele amani ya mashariki ya kati

Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa suala la amani kati ya israel na palestina linapewa kipaumbele wakati huu ambapo a,ekutana na waziri mkuu wa Israel Benjamin ...

Raisi wa Syria,Bashar Al Assad ambaye majeshi yake yanaendeleza mapambano dhidi ya makundi mbalimbali yanayopinga utawala wake nchini humo.
23/05/2013 - SYRIA-URUSI-UINGEREZA

Mataifa ya magharibi yaendelea kumkalia kooni raisi wa Syria

Mataifa ya magharibi yamemtaka rais wa Syria Bashar al-Asad kuhakikisha anashiriki kwenye suluhu ya kupata amani nchini humo na kuonya kuwa iwapo atashindwa kuzungumza kuhusu kuundwa kwa serikali ...

Baadhi ya waokoaji,polisi na mashuhuda wakiwa katika moja ya eneo lililoathiriwa na kimbunga cha Tornado ambacho kimesababisha vifo huko Moore,Oklahoma nchini Marekani
22/05/2013 - MAREKANI

Zoezi la uokozi Marekani lakamilika,matumaini ya kuwapata manusura zaidi yatoweka

Jitihada za Vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya kusafisha mji wa Oklahoma nchini Marekani huku matumaini ya kuwapata watu wengine wakiwa hai yakitoweka kutokana na kukamilika kwa sehemu ...

Raisi wa Marekani Barack Obama,anataraji kuanza ziara barani Afrika mnamo mwezi June.
22/05/2013 - KENYA-MAREKANI

Marekani yasema inashirikiana na mataifa yote ya Afrika ikiwemo Kenya

Serikali ya Marekani imesisitiza kuwa ingali na ushirikiano wa karibu na mataifa yote ya bara Afrika ikiwemo Kenya, baada ya madai kuzuka kuwa Marekani huenda inajitenga na Kenya baada ya ...

Madhara ya Kimbunga aina ya Tornado
21/05/2013 - MAREKANI

91 wauwawa kwa kimbunga 20 wakiwa watoto wa shule nchini Marekani

Kimbunga kikubwa cha Tornado kimeukumba mji wa Oklahoma mapema leo Jumatatu na kubomoa vitalu vya nyumba, shule mbili na kuua takribani watu 91 ikiwa ni pamoja na watoto 20, viongozi wa mitaa ...

Treni mbili za abiria baada ya kugongana
18/05/2013 - MAREKANI

Ajali ya treni yajeruhi 60 Marekani

Watu sitini wamejeruhiwa watano kati yao wanahalimbaya baada ya treni za abiria kugongana katika kitongoji cha Kaskazini mwa jiji la New York nchini Marekani.

 

Rais wa Marekani Barack Obama
17/05/2013 - MAREKANI

Rais Obama aliomba bunge la Congress kuongeza bajeti ili kuimarisha usalama

Rais wa Marekani Barack Obama amewahimiza wabunge wa Congress kuongeza bajeti itakayowezesha kuimarisha usalama katika balozi zake Indianian kote ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka raia wanne wa nchi ...

Rais wa Marekani Barack Obama
15/05/2013 - Marekani

Rais Obama asema serikali yake haitavumilia kashfa za ubadhirifu

Rais wa Marekani Barack Obama amesema serikali yake haiwezi kuvumilia kashfa inayowakabili wanafanyakazi wa kitengo cha kukusanya kodi wanaodaiwa kuwa wabadhirifu.

 

Moshi mkubwa uliosababishwa na shambulizi la angali lililofanywa na Majeshi ya Israeli kulenga kambi za utafiti wa kijeshi nchini Syria
10/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-ISRAELI

Syria yasema itajibu mashambulizi mapya ya Kijeshi yatakayofanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya taifa hilo huku Marekani ikijiapiza kuilinda

Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...

Close