Watu wenye silaha nchini Pakistan wamemtekanyara mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa taifa hilo Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani katika siku ya mwisho ya kampeni kabla ya wananchi wa Taifa hilo ...
Watu wanane wamepoteza maisha nchini Bangladesh baada ya kuzuka kwa moto kwenye kiwanda cha nguo ikiwa ni ajalia nyingine kwenye sekta hiyo ya viwanda kipindi hiki idadi ya watu waliokufa kwenye ...
Jeshi la Polisi nchini Bangladesh limeimarisha ulinzi mkali katika Mji Mkuu Dhaka ikiwa ni tahadhari ya kukaa tayari kukabiliana na ghasia zozote zinazoweza kuzuka wakati maandamano yaliyoitishwa ...
Mwanasiasa mahiri nchini Pakistani Imran Khan aliyeanguka jukwaani akiendelea na kampeni zake za kunadi sera anaendelea kupatiwa matibabu hospital kufuatia kupata majeraha kichwani na sasa hali ...
08/05/2013
-
MAREKANI-KOREA KUSINI-KOREA KASKAZINI
Viongozi wa Marekani na Korea Kusini wametangaza kutokuwa na huruma yoyote dhidi ya Serikali ya Korea Kaskazini iliyo mstari wa mbele kwa kutoa vitisho vya kuyashambulia mataifa hayo mawili ...
Vyama vya Upinzani nchini Bangladeshi vimeitisha maandamano ya kitaifa ya siku mbili yatakayoanza siku ya jumatano kuonesha kuguswa kwao na vifo vilivyosababishwa na mapambano baina ya Waumini wa ...
07/05/2013
-
KOREA KASKAZINI-KOREA KUSINI-MAREKANI
Serikali ya Korea Kaskazini imefikia uamuzi wa kuondoa makombora yake mawili katika Pwani yake ambayo yaliwekwa tayari kwa ajili ya kufanyiwa majaribio licha ya Pyongyang na Korea Kusini kuendelea ...
Watu wapatao thelathini na wawili wamepoteza maisha nchini Bangladesh wakati jeshi la Polisi linazima maandamano ya Waumini wa Kiislam ambao walijitokeza kwenye Jiji la Kibiashara la Dhaka ...
Muungano wa Vyama Tawala nchini Malaysia umefanikiwa kushinda kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika jana na kufanikiwa kuendelea kusalia madarakani baada ya kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka ...
Iran na Mataifa yenye nguvu Duniani kwa pamoja wameanza mazungumzo ya kujadili mgogoro wa nyuklia wa Tehran ambao nchi hiyo unataka ukubaliwe kutokana na lengo lake ni kuwasaidia wananchi wake ...
05/04/2013
-
KOREA KASKAZINI-KOREA KUSINI-MAREKANI
Hofu ya kuibuka kwa vita vya tatu vya dunia imeendelea kukua baada ya Korea Kaskazini na Marekani kuendelea kutunishiana misuli kutokana na kila upande kuweka tayari silaha zake kwa ajili ya ...
Watu 29 wanatajwa kupoteza maisha nchini India na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa baada ya kuanguka kwa jengo la ghorofa saba lililokuwa linaendelea kujengwa katika Mji wa Mumbai.
Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo kwa mara nyingine kwa Marekani na kuitaka itambue Jeshi la nchi hiyo limeruhusiwa kutumia silaha zake za nyuklia kwenye mashambulizi yake.
03/04/2013
-
KOREA KASKAZINI-KOREA KUSINI-MAREKANI
Korea Kaskazini imewazuia wafanyakazi raia wa Korea Kusini kuweza kuingia kwenye Ukanda wa Viwanda ambao unamilikiwa kwa pamoja na pande hizo mbili mapema jumatano hatua inayoongeza hofu ya ...
Serikali ya Korea Kaskazini inayoongozwa na Kim Jong-Un imesema dhamira yake ni kuanza upya kutumia mtambo wake wa kuzalisha nyuklia walioufungwa mwaka 2007 huku pia wakisema huenda wakaanza ...
Rais Mpya wa Korea Kusini Park Geun-Hye ametoa ahadi ya kuwa tayari kukabiliana kijeshi na jirani zao wa Korea Kaskazini ambao wametangaza nchi hizo mbili zipo kwenye hali ya kivita.
Serikali ya Myanmar imanza kuonesha kwa vitendo inaheshimu uhuru wa vyombo vya habari baada ya kuruhusu kuchapishwa na kusambazwa kwa magazeti binafsi ambayo kwa miongo kadhaa yalikuwa ...
Jeshi la Polisi nchini India limesema Wanamgambo wa Kiislam walishatoa onyo la kuwa na mapngo wa kutekeleza shambulizi katika eneo la Hyderabad lakini hakuna taadhari zozote ambazo zilichukuliwa ...
Mataifa yenye Nguvu Duniani yameanza kushusha lawama zake kwa Iran siku chache kabla ya kufanyika kwa mazungumzo juu ya nchi hiyo kuendelea na mpango wake wa kitengeneza nyuklia ikidaiwa imeingiza ...
Jeshi la Polisi nchini Pakistani limewaua watu wanne na kuwakamata wengine saba ambao wanatuhumiwa kutekeleza mashambulizi yaliyochangia mauaji ya Washia wapatao 89 mwishoni mwa juma.
Umoja wa Mataifa UN umelaani vikali mauaji yanayoendelea dhidi ya wafuasi wa Kishia ambao waumini 81 wamepoteza maisha kwenye shambulizi lililotekeleza Kusini Magharibi mwa Pakistan na kutaka ...
Mahakama Kuu nchini India imetupilia mbali ombi lililowasiliswa na upande wa utetezi la kutaka kuhamisha kesi inayowakabiliwa watuhumiwa watano wa mauaji, utekajinyara na ubakaji wa mwanafunzi wa ...
Jeshi la Polisi nchini India hatimaye limewafungulia rasmi mashtaka watuhumiwa watano wa mauaji, utekajinyara na ubakaji wa msichana mwenye umri wa miaka 23 aliyekuwa anasomea Udaktari huko New ...
Umoja wa Mataifa UN umemaliza muda wa Majeshi yake ya Kulinda Amani nchini Timor Mashariki baada ya kuhudumu kwa kipindi cha miaka kumi na tatu kuhakikisha hali ya usalama inatengemaa katika Taifa ...
Uhusiano baina ya China na Japan unaelekea kuzidi kuharibika kutokana na kushuhudiwa kwa kauli zinazodhihirisha hali si shwari baina ya nchi hizo kipindi hiki ambacho huko Beijing kuna maandamano ...
Serikali ya Japan imelazimika kufunga viwanda vyake vilivyopo nchini China kutokana na waandamanaji wanaoipinga nchi hiyo kushambulia viwanda hivyo na kuhatarisha usalama wa wafanyakazi pamoja na ...
Mkasa wa kuvuja kwa mionzi ya nyuklia nchini Japan kutoka kwenye kinu cha Fukushima mwaka mmoja uliopita umebainika kuwa ni janga ambalo limetengenezwa na binadamu na halikuchangiwa na tetemeko la ...
Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Myanmar na Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Aung San Suu Kyi amewasili nchini Thailand ikiwa ni zaira yake ya kwanza kuifanya katika kipindi cha miaka ishirini ...
Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Myanmar na Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Aung San Suu Kyi anafanya ziara ya kwanza nje ya nchi hiyo katika kipindi cha miaka ishirini na minne ambayo alikuwa ...
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu nchini China mwenye ulemavu wa macho Chen Guangcheng ameiomba serikali ya Marekani kumpa hifadhi yeye pamoja na familia yake baada ya kukamilika kwa mpango wa ...
Mwanaharakati wa China mwenye ulemavu wa macho ambaye alitoroka kifungo cha ndani na kisha kupatiwa hifadhi ya malazi katika Ubalozi wa Marekani Jiji Beijing Chen Guangcheng ameondoka Ubalozini ...
Watu saba wamepoteza maisha kwenye Mashambulizi ya Mabomu ambayo yametekelezwa na Kundi la Wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan saa kadhaa baada ya Rais wa Marekani Barack Obama kufanya ziara ...
Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Myanmar na Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Aung San Suu Kyi hatimaye amekula kiapo cha kuwa Mbunge wa Bunge la nchi hiyo pamoja na wabunge wengine thelathini na ...
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza rasmi mwisho wa vita yao nchini Afghanistan baada ya kufanikiwa kutekeleza hatua kama hiyo nchini Iraq kauli ambayo ameitoa alipofanya ziara ya kushtukiza ...
Wapigambizi na Kikosi Maalum cha Waokoaji nchini India wameendelea na zoezi la kusaka manusura wa ajali ya kivuko kilichozama katika Mto Brahmaputra uliopo kwenye Jimbo la Assam na kusababisha ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki Moon amempongeza Kiongozi wa Upinzani na Mwanademokrasia nchini Myanmar Aung San Suu Kyi kutokana na kitendo chake cha kuamua kula kiapo cha kuwa Mbunge ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki Moon ameitaka serikali ya Myanmar kumaliza umwagaji wa damu ambao unaendelea kushuhudiwa Kaskazini mwa nchi hiyo huku akimsihi Rais Thein Sein na Kiongozi ...
Onyo la kutokea kwa tetemeko la chini ya bahari maarufu kama Tsunami lililokuwa linatarajiwa kupiga eneo la Pwani ya Bahari ya Hindi limeondolewa baada ya tetemeko lenye kipimo cha nane nukta sita ...
Onyo la kutokea kwa Tetemeko la Nchini ya Bahari maarufu kama Tsunami kwenye Visiwa vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi limetolewa baada ya Kisiwa cha Sri Lanka kupigwa na tetemeko hilo kitu ...
Korea Kaskazini imeanza kujaza mafuta kwenye makombora yake kabla ya kutekeleza mpango wake wa kufanya majaribio ambayo yamepangwa kufanyika baadaye wiki hii licha ya kukutana na upinzani mkubwa ...
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kuzuru nchini Myanmar baadaye juma hili na atakuwa Kiongozi wa kwanza wa juu kutoka Mataifa ya Magharibi kutembelea taifa hilo ambalo limeongozwa ...
Korea Kaskazini inajiandaa kufanya majaribio ya makombora yake ya masafa marefu tarehe kumi na mbili au kumi na sita ya mwezi huu wakati huu ambapo Korea Kusini ikiendelea kutoa onyo kwa jirani ...
Wanajeshi wawili wa Jeshi la Kujihami la nchi za Magharibi NATO linaloshika doria nchini Afghanistan wameuawa baada ya kupigwa risasi Kusini mwa Jimbo la Kandahar na wanajeshi wa taifa hilo.
Serikali ya Korea Kaskazini imekubali kusitisha kuendelea kufanya uzalishaji wa madini ya uranium, kusitisha majaribio ya nyuklia pamoja na kuacha kufanya majaribio ya makombora yao ya masafa ...
Serikali ya China imeiambia Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ni lazima misaada ya kibinadamu iweze kuwafikia wananchi wanaokabiliwa na hali mbaya nchini Syria na kutaka machafuko yanayoendelea ...
Watu wenye silaha wameshambulia basi moja katika eneo la Kaskazini mwa nchi ya Pakistan na kuuwa waumini kumi na wanane wa dhehebu la Washia waliokuwa wanasafiri kwa kutumia basi hilo.
Watu tisa wameuawa na wengine kumi wakijeruhiwa kwenye shambulizi la bomu la kujitoa mhanga lililotekelezwa na Mfuasi wa Kundi la Wanamgambo wa Taliban Mashariki mwa Afghanistan katika Jiji la ...
Waziri Mkuu wa Australia Julia Gillard ameshinda kura ya kuwa na imani naye au la aliyoiitisha juma lililipota na kupigwa mapema leo jumatatu katika Bunge la nchi hiyo kwa lengo la kumaliza mzozo ...
Watu tisa wameuawa na wengine kumi wakijeruhiwa kwenye shambulizi la bomu la kujitoa mhanga lililotekelezwa na Mfuasi wa Kundi la Wanamgambo wa Taliban Mashariki mwa Afghanistan katika Jiji la ...
Wanajeshi saba wa jeshi la Pakistan wameripotiwa kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo wa kundi la Taliban jimboni Shidano Dand.
Mahaka ya juu nchini Pakistan imemuagiza Waziri Mkuu wa nchi hiyo Yousuf Raza Gilani kutokea mahakamani hapo tarehe 13 mwezi huu kujibu mashtaka ya kwanini alikataa kufungua kesi za rushwa ...
Zaidi ya watu mia mbili wameokolewa katika pwani ya bahari ya nchi ya Papua New Guinea baada ya kivuko walichokuwa wakisafiria kuzama kaskazini mwa nchi hiyo kwenye mpaka wake na Australia.
Nchi ya China kupitia wizara ya mambo ya nje imeitaka Serikali ya Sudan kufanya kila linalowezekana kuhakikisha inafanikisha kuachiliwa huru kwa raia wake ambao wanaendelea kushikiliwa na waasi wa ...
Serikali ya China hii leo imedhibitisha kuachiliwa huru kwa raia wake zaidi ya ishirini na tano ambao walikuwa wametekwa nyara kaskazini mwa nchi ya Misri kwenye mji wa Sinai ambao walikuwa ni ...
Wanajeshi nchini Papua New Guinea wamefanya mapinduzi ambayo yameenda sambamba na kumweka chini ya ulinzi wa nyumbani Mkuu wa Majeshi Brigedia Jenerali Francis Agwi wakitaka Waziri Mkuu wa zamani ...