Halaiki ya watu wamejitokeza nchini Tunisia kuhudhiria mazishi ya kiongozi mkuu wa upinzani Chokri Belaid aliyeuawa juzi jumatano akiwa nje kidogo ya nyumbani kwake jijini Tunis.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya EU wametofautiana kuhusu bajeti ya Jumuiya hiyo, kutokana na baadhi ya nchi hususan Uingereza zikitaka mpango wa kubana matumizi ya fedha huku Ufaransa na Italia ...
Takriban watu 29 wameuawa na wengine zaidi ya kumi wamejeruhiwa leo siku ya Ijumaa katika matukio tofauti ya kuvizia dhidi ya waumini wa kiislam wa madhehebu ya kishia nchini Iraq.
Rais wa msumbuji Armando Guebuza ameitisha kikao cha dharula cha viongozi wa jumuiya kicuhumi ya nchi za kusini mwa bara la Afrika SADC jiji Maputo Ijumaa hii, ili kujadili kuhusu hali ya ...
Mgomo wa jumla umeitishwa nchini Tunisia wakati mazishi ya kiongozi wa upinzani Chokri Belaid alieuawa hivi majuzi yakifanyika, mauaji ambayo yalizua ghasia na hasira miongoni mwa wafuasi wa ...
Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Nigeria Stephen Keshi anayefahamika kwa jina maarufu kama the big boss amejitokeza na kuelezea sababu zake za kutaka kuacha kazi baada ya fainali ya kombe la ...
Viongozi wa jumuiya ya kiarabu waendelea kugawanyika kuhusu suala la mzozo wa Syria katika mkutano unaotamatika alhamisi hii jijini Cairo nchini Mirsi, wakati upande moja ukiendelea kusisitiza ...
Viongozi wa mataifa na serikali za Umoja wa Ulaya EU wanakutana leo mchana jijini Brusels nchini Ubelgiji ili kujaribu kutafuta muafaka kuhusu badgeti ya 2014-2020 baada ya kushindwa kuafikiana ...
Wakili wa Naibu Waziri Mkuu wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye pia anawania urais nchini humo Steven Kay anataka Mahakama ya Kimataifa ya ICC kuachana na kesi inayomkabili mteja wake baada ya ...