Makala ya Muziki Ijumaa leo yanapiga hodi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na kukutana na mwanamuziki mashuhuri Nyboma Mwan'dido ambaye ameweza kuvuma sana kutokana na umahiri wake ...
Muziki wa kiafrika unaendelea kushika kasi na kupendwa na watu mbalimbali na wanamuziki wengi wa Afrika wanaendelea kutamba na muziki huo na hata kuvuka mipaka ya Bara la Afrika.
Sudan imenyooshewa kidole kuwa imekuwa ikimpatia hifadhi Kiongozi wa Jeshi la waasi wa Lord's Resistance Army LRA Joseph Kony, Ripoti ya Shirika moja nchini Marekani imeeleza.
Polisi nchini Bangadeshi imefanya kazi ya kudhibiti makundi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Nguo ambao wamefanya maandamano makubwa kufuatia vifo vya wenzao Takriban 300 vilivyosababishwa na ...
Jeshi la Polisi nchini Marekani katika Jiji la New York limetoa taarifa ya kueleza walikuwa wanawasaka kwa udi na uvumba ndugu wawili waliotekeleza shambulizi kwenye Mji wa Boston kutokana na wao ...
Korea kaskazini imekataa ombi la Korea kusini la kufanya mazungumzo iliyoyaita ya kinafiki juu ya kuanza tena kwa shughuli za pamoja za uzalishaji katika viwanda na kuitaka Seoul kuondoa ...
Serikali ya Marekani imesema kuna ushahidi unaonesha Rais Bashar Al Assad na Jeshi lake huko Syria wanatumia silaha za kikemikali katika mapambano yao dhidi ya Wapinzani ambao kwa zaidi ya miaka ...
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeridhia kwa pamoja kupeleka Wanajeshi 12, 600 wa Kimataifa nchini Mali kuchukua jukumu la kulinda usalama kutoka kwa Vikosi vya Ufaransa na Afrika ...
Mazungumzo ya kusaka amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC yamekwama kwa mara nyingine huku wajumbe kutoka serikali ya Kinshasa na Kundi la Waasi la M23 wanaoshiriki ...
Maelfu ya Ndugu na jamaa ya Waathirika wa ajali ya kuanguka kwa jengo nchini Bangladesh waeshuhudia vikosi vya uokoaji vikiwatafuta wapendwa wao katika vifusi vya jengo hilo wakati huu ambapo ...