Syndicate content
Martha Saranga Amini
Mcheza Tennis Bingwa nambari mbili duniani Andy Murray,majeraha yamuweka nje ya French Open safari hii
22/05/2013 - michezo

Majeraha ya mgongo yamuweka Andy Murry nje ya michuano ya French Open

Andy Murray amejiondoa katika mchuano wa French Open kutokana na majeraha mgongoni kumlazimu kufanya hivyo akiwa Italia Juma lililopita.

Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta akiwa na makamu wake William Ruto wamekana madai ya ripoti ya tume ya ukweli haki na maridhiano
22/05/2013 - KENYA

Tume ya ukweli haki na maridhiano yatoa ripoti ya ukiukwaji wa haki za binadamu kenya kuanzia uhuru.

Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wametajwa kuhusika katika vurugu za baada za uchaguzi katika ripoti iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na gamu inayochunguza ukiukwaji wa haki ...

Martin  Mutumba mshambuliaji wa pembeni anayechezea klabu ya AIK Stockhom ya nchini Sweden amerejea kikosini.
22/05/2013 - Michezo

Kocha wa Uganda Cranes kutaja kikosi kipya

Kocha wa timu ya taifa ya Uganda Milutin 'Micho' Sredojevic hatakuwa na muda wa mapumziko wakati huu ambapo anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuandaa kikosi cha taifa kitakachoumana na kikosi cha ...

Baadhi ya waokoaji,polisi na mashuhuda wakiwa katika moja ya eneo lililoathiriwa na kimbunga cha Tornado ambacho kimesababisha vifo huko Moore,Oklahoma nchini Marekani
22/05/2013 - MAREKANI

Zoezi la uokozi Marekani lakamilika,matumaini ya kuwapata manusura zaidi yatoweka

Jitihada za Vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya kusafisha mji wa Oklahoma nchini Marekani huku matumaini ya kuwapata watu wengine wakiwa hai yakitoweka kutokana na kukamilika kwa sehemu ...

Raisi wa Marekani Barack Obama,anataraji kuanza ziara barani Afrika mnamo mwezi June.
22/05/2013 - KENYA-MAREKANI

Marekani yasema inashirikiana na mataifa yote ya Afrika ikiwemo Kenya

Serikali ya Marekani imesisitiza kuwa ingali na ushirikiano wa karibu na mataifa yote ya bara Afrika ikiwemo Kenya, baada ya madai kuzuka kuwa Marekani huenda inajitenga na Kenya baada ya ...

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon asisitiza operesheni dhidi ya uasi kuanza haraka mashariki ya jamuhuri ya demokrasia ya Congo.
22/05/2013 - DR Congo-Umoja wa mataifa UN

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa UN Ban Ki Moon ahimiza operesheni za kijeshi kuharakishwa mashariki ya DRC.

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa UN, Ban Ki Moon amesisitiza kuharakishwa kwa operesheni ya kijeshi ya vikosi maalumu vya Umoja wa mataifa kukabiliana na uasi mashariki mwa jamuhuri ya demokrasia ...

Waziri mkuu wa Uturuki Tayyip Erdogan,amethibitisha Syria kutumia silaha za kemikali dhidi ya wapinzani
11/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-UTURUKI

Uturuki yathibitisha Syria kutumia silaha za kemikali

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema anavithibitisho kwamba majeshi ya serikali ya Syria yanatumia silaha zenye kemikali dhidi ya majeshi ya upinzani.

Raisi wa Ufaransa François Hollande sambamba na Raisi wa Niger Mahamadou Issoufou.
11/05/2013 - MALI-UFARANSA-NIGER

Mali yaomba ufadhili Umoja wa Ulaya

Nchi ya Mali imeomba kwa wafadhili wa kimataifa hususan umoja wa ulaya EU takribani yuro bilioni 2.6 kusaidia kujenga upya nchi na kujaribu kuzuia kurejea kwa wapiganaji waasi ambao walifukuzwa ...

Jeshi la Tanzania laelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwa ajili ya kukabiliana na makundi yanayozorotesha usalama nchini humo
09/05/2013 - Habari RFI-Ki

Jeshi la Tanzania laelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwa ajili ya kukabiliana na makundi yanayozorotesha usalama nchini humo

Jeshi la Tanzania limeshatoa kikosi chake kinachoeleka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwa lengo la kukabiliana na Makundi yanayomiliki silaha na kuchangia pakubwa kuzorotesha ...

Close