Syndicate content
Nurdin Selemani Ramadhani
Wanajeshi wa FARDC yakabiliana na Wapiganaji wa Mai Mai na kusababisha vifo vya watu 40 huku Mataifa ya Magharibi yakishinikiza kuondoka madarakani kwa Rais Assad
18/05/2013 - Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Wanajeshi wa FARDC yakabiliana na Wapiganaji wa Mai Mai na kusababisha vifo vya watu 40 huku Mataifa ya Magharibi yakishinikiza kuondoka madarakani kwa Rais Assad

Mapigano makali yazuka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kati ya wapiganaji wa Kundi la Waasi la Mai Mai walipovamia Kambi ya Wanajeshi wa FARDC na kusababisha vifo vya watu 40, Mataifa ...

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewakamata watu kumi na wawili wakihusishwa na shambulizi la bomu Arusha huku Mataifa 50 yakikutana Uingereza kusaka mbinu za kuisaidia Somalia
11/05/2013 - Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewakamata watu kumi na wawili wakihusishwa na shambulizi la bomu Arusha huku Mataifa 50 yakikutana Uingereza kusaka mbinu za kuisaidia Somalia

Jeshi la Polisi nchini Tanzania linawashikilia watuhumiwa kumi na wawili wanaotajwa kuhusika kutekeleza shambulizi la bomu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi Parokia ya Olasiti ...

Andy Murray akiwa katika Mashindano ya Madrid Open akikabiliana na Gilles Simon
10/05/2013 - TENNIS-MADRID OPEN

Murray na Nadal wasonga mbele katika Mashindano ya Madrid Open huku Federer akiondoshwa mapema

Mashindano ya Tennis ya Madrid Open yameendelea kuchanja mbuga na kushuhudia wakongwe kwenye mchezo huo wakizidi kuondolewa huku wengine wakisonga mbele kutinga hatua ya mzunguko wa nne.

Kocha Mkuu wa Manchester United Sir Alex Ferguson akiwa na mrithi wake David Moyes
10/05/2013 - UINGEREZA-SOKA

Manchester United kumpa David Moyes mkataba wa miaka sita kuinoa timu hiyo kurithi mikoba ya Sir Ferguson

Klabu ya Manchester United imefanikiwa kumtangaza mrithi wa Sir Alex Ferguson aliyetangaza kustaafu kazi ya kukinoa kikosi hicho mwishoni mwa msimu huu baada ya kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka ...

Moshi mkubwa uliosababishwa na shambulizi la angali lililofanywa na Majeshi ya Israeli kulenga kambi za utafiti wa kijeshi nchini Syria
10/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-ISRAELI

Syria yasema itajibu mashambulizi mapya ya Kijeshi yatakayofanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya taifa hilo huku Marekani ikijiapiza kuilinda

Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto ambao wanakabiliwa na mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ICC
10/05/2013 - KENYA-UMOJA WA MATAIFA

Utata waibuka nchini Kenya baada ya kuandikwa kwa barua ya kuliomba Baraza la Usalama kuitaka Mahakama ya ICC kufuta kesi dhidi ya Kenyatta na Ruto

Serikali ya Awamu ya Nne nchini Kenya imeendelea kuandamwa na mzimu wa kesi ya inayowakabili Rais Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu wake William Samoei Arap Ruto ambao sasa wanataka kesi dhidi yao ...

Kikosi cha Uokoaji kikiendelea kupata miili zaidi ya watu waliopoteza maisha kwenye jengo la ghorofa nane nchini Bangladesh
10/05/2013 - BANGLADESH

Idadi ya watu waliopoteza maisha nchini Bangladesh kufuatia kuanguka kwa ghrofa imefikia zaidi ya watu 1000

Idadi ya vifo vilivyosababishwa na kuanguka kwa jengo la ghorofa nane nchini Bangladesh vimefikia zaidi ya elfu moja huku Kikosi cha Uokoaji kikiendele kuondoa vifusi vilivyosalia kuangalia iwapo ...

Wabunge hawa wa Zimbabwe ni miongoni mwa waliopitisha muswada wa katiba mpya
10/05/2013 - ZIMBABWE

Wananchi wa Zimbabwe wakaribia kupata Katiba Mpya baada ya Bunge nchini humo kupitisha muswada huo

Bunge nchini Zimbabwe limeidhinisha muswada wa katiba ambao ni sehemu ya upatikana wa katiba mpya nchini humo iliyopigiwa kura ya ndiyo na asilimia tisini ya wananchi wa Taifa hilo mapema mwezi ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan Nasser Judeh
09/05/2013 - MAREKANI-SYRIA-JORDAN

Marekani yasisitiza lazima Rais Assad aondoke madarakani ndiyo suluhu ya kisiasa itapatikana nchini Syria

Marekani imeendelea kushikilia msimamo wake wa kutaka Rais wa Syria Bashar Al Assad aachie wadhifa wake kama sehemu ya kufikiwa suluhu ya kisiasa ya kumalizwa kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya ...

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani ambaye ametekwa na watu wenye silaha
09/05/2013 - PAKISTAN

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Raza Gilani atekwa nyara kwenye kampeni za mwisho na watu wenye silaha

Watu wenye silaha nchini Pakistan wamemtekanyara mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa taifa hilo Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani katika siku ya mwisho ya kampeni kabla ya wananchi wa Taifa hilo ...

Close