Serikali ya Afrika Kusini imetangaza hali ya afya ya Rais wa kwanza mzalendo Nelson Mandela maarufu kama Madiba inaendelea kuimarika baada ya kupatiwa matibabu kwa kipindi cha juma moja ...
Serikali ya Uganda imetangaza kusitisha zoezi la kumsaka Kiongozi wa Kundi la Waasi la LRA Joseph Kony ambaye anatajwa kujificha nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na kufanya mashambulizi katika ...
Michezo miwili ya mwisho ya mkondo wa kwanza wa hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya inatarajiwa kupigwa hii leo katika viwanja viwili tofauti ambapo Malaga FC watakuwa ...
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Cote D'Ivoire anayekipiga katika Klabu ya Galatasaray ya Uturuki Didier Drogba amesema anaamini Kocha wa Real Madrid Jose Mourinho huenda akarejea na kukinoa Kikosi ...
Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani imejiweka katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kufanikiwa kuchomoza na ushindi kwenye ...
03/04/2013
-
KOREA KASKAZINI-KOREA KUSINI-MAREKANI
Korea Kaskazini imewazuia wafanyakazi raia wa Korea Kusini kuweza kuingia kwenye Ukanda wa Viwanda ambao unamilikiwa kwa pamoja na pande hizo mbili mapema jumatano hatua inayoongeza hofu ya ...
Kiongozi aliyeondoloewa madarakani kwa mapinduzi na kulazimika kukimbilia uhamishoni nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati Francois Bozize amewatuhumu jirani zao wa Chad kutokana na kuusaidia Muungano ...
Kampeni za kuwania kurithi nafasi ya aliyekuwa Rais wa Venezuela Kamanda Hugo Chavez zimeanza rasmi huku Chama Tawala kikiahidi kitaendelea mapinduzi ambayo yaliasisiwa na Kiongozi wao ...
03/04/2013
-
JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO-UMOJA WA MATAIFA
Umoja wa Mataifa UN na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokarsia ya Congo DRC wamesaini mkataba wenye lengo la kukabiliana na vitendo vya ubakaji na udhalilishaji wa kijinsia ambavyo vimekuwa ...
02/04/2013
-
KOREA KASKAZINI-KOREA KUSINI-UMOJA WA MATAIFA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki Moon amekiri hali imezidi kuwa ya wasiwasi kwenye eneo la Peninsula na ameionya Serikali ya Korea Kaskazini kuachana na vitosho vyake juu ya utengenezaji ...