Syndicate content
RFI
Siku ya wanawake
03/08/2012 - Habari RFI-Ki

Siku ya wanawake

Makala haya Habari Rafiki tunaagazia kuhusu changmoto wanazo kutana nazo wanwake kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na kati.

Habari rafiki
27/07/2012 - Habari RFI-Ki

Habari rafiki

Kwa Mara kwanza rais wa DRCongo Joseph Kabila Kabange ameishutumu wazi serikali ya Rwanda kuwafadhili waasi wa kundi la M23 wanaopambana na majeshi ya FRDC.

Mkutano wa viongozi wa AU
12/07/2012 - Habari RFI-Ki

Mkutano wa viongozi wa AU

Viongozi wa AU wakutana jijini Addis Abeba nchini Ethiopia kujadili maswala ya mzozo wa Mali, DRCongo lakini pia wamchaguwa bibi Kosazane Dlamine Zuma kuchukuwa nafadi ya Jean Ping

Kwame arudi kwenye kituo cha utafiti,.
01/07/2012 - Talisman Brise

Kwame arudi kwenye kituo cha utafiti,.

Kwame anafurahia kurudi kwenye kituo cha utafiti ambapo Profesa Omar anamwelezea Natalie kuhusu utafiti wake....

Maadhimisho ya siku ya dawa za kulevya duniani
26/06/2012 - Habari RFI-Ki

Maadhimisho ya siku ya dawa za kulevya duniani

Habari Rafiki tunakuletea makala kuhusu siku mahsusi duniani kwa ajili ya matumizi ya dawa za kulevya na athari zake

Mwaka mmoja baada ya kuangushwa kwa utawala wa Mubark nchini Misri
25/06/2012 - Habari RFI-Ki

Mwaka mmoja baada ya kuangushwa kwa utawala wa Mubark nchini Misri

Habari Rafiki, leo tunazungumzia kuhusu mwaka mmoja baada ya kuangushwa kwa utawala wa rais Hosni Mubarak nchini Misri

Hatimaye Profesa awa huru,Kwame apongezwa
24/06/2012 - Talisman Brise

Hatimaye Profesa awa huru,Kwame apongezwa

Hatimaye Prosefa Omar aokolewa,watekaji nyara watiwa nguvuni  na Kwame apongezwa na kila mtu kwa ushujaa wake wa kufatilia hadi kufanikisha Profesa Omar anapatikana.

Polisi yawaweka chini ya ulinzi watekaji nyara kabla ya kumuokoa Profesa Omar...
17/06/2012 - Talisman Brise

Polisi yawaweka chini ya ulinzi watekaji nyara kabla ya kumuokoa Profesa Omar...

Profesa anakutwa hoi,Kwame anawashawishi askari polisi kuwatia nguvuni watekaji kabla hawajatoroka au kuwadhuru.

Kampeni dhidi ya Fistula
15/06/2012 - Habari RFI-Ki

Kampeni dhidi ya Fistula

Makala haya habari rafiki tunajadili kuhusu kampeni dhidi ya maradhi ya Festula

Kwame na polisi wanafanikiwa kufika katika eneo aliloshikiliwa Profesa Omar
10/06/2012 - Talisman Brise

Kwame na polisi wanafanikiwa kufika katika eneo aliloshikiliwa Profesa Omar

Kwame na polisi wanakubaliana kumtanguliza Kwame mahali aliposhikiliwa Profesa Omar ili kuhakikisha usalama wake kabla ya kumuokoa na kuwatia nguvuni watekaji nyara...

Close