Syndicate content
RFI
Ould Limam Chavi mpinzani mkuu nchini Mauritania
29/12/2011 - Mauritania

Serikali ya Mauritania na hati ya kukamatwa kwa mpinzani mkuu Ould Limam Chavi

Serikali ya mauritania imetoa hati ya kimataifa ya kukamatwa kwa mpinzani wa rais Mohamed Ould Abdel Aziz, Moustapha Ould Limam Chavi kwa tuhuma za kushirikiana na kundi la kigaidi duniani la ...

Viongozi wa upinzani nchini Senegal
29/12/2011 - Senegal-Uchaguzi

Wito wa utulivu kwa wananchi wa Senegal na wagombea wa urais miezi miwili kabla ya uchaguzi

Wagombea urais nchini Senegal wametoa wito kwa vyombo vya usalama na wananchi kuwa watulivu wakati huu ambapo nchi hiyo inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu ndani ya miezi miwili ijayo.

Jaji mkuu nchini Nigeria Aloysius Katsina-Alu.
28/12/2011 - Nigeria-Sheria

Mahakama kuu nchini Nigeria yatupilia mbali madai dhidi ya ushindi wa Goodluck Jonatahan

Mahakama kuu nchini Nigeria imetupilia mbali madai dhidi ya ushindi wa rais Goodluck Jonathan katika uchaguzi wa mwezi April mwaka huu unaodaiwa kuwa na dosari na kutaka urudiwe.

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki Moon
28/12/2011 - Umoja wa Mataifa UN

Licha ya bajeti ya Umoja wa Mataifa UN Kupunguzwa, katibu mkuu wa UN anaimani kuwa watafaanikiwa

Licha ya wajumbe wa baraza la Umoja wa mataifa kupitisha na kupunguza bajeti ya Umoja huo kwa asilimia tano, katibu mkuu Ban Ki Moon ameendelea kusisitiza kuwa licha ya bajeti ndogo iliyopitishwa ...

Wapiganaji wa DRCongo
28/12/2011 - DRCongo-Mapambano

Hofu yazuka Mashariki mwa DRCongo

Kumezuka hali ya wasiwasi nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo katika mji wa Walikale katika mkoa wa Kivu kaskazini kufuatia kuripotiwa kwa mapigano kati ya wapiganaji wa Mai Mai wanaopigana na ...

shughuli za mazishi ya kiongozi wa Korea Kaskazini
28/12/2011 - Korea Kusini-Mazishi

Maelfu ya wananchi wa Korea Kaskazini washuhudia shughuli za mazishi ya kiongozi wao Kim Jong III

Maelfu ya wananchi wa korea Kaskazini hivi sasa wanshuhudia mazishi ya kiongozi wa tifa hilo Kim Jong Ill ambaye mwili wake utahifadhiwa katika jumba la kumbukumbu la nchi hiyo mjini Pyongyang.

Rais wa Afghanistani Hamid Karzaï, Desemba 6, 2011.
28/12/2011 - Afghanistani-Taliban

Rais wa Afghanistani aridhia mazungumzo na wanamgambo wa Taliban

Rais wa Afghanistani Harmid Karzai amesema kuwa anakaribisha mazungumzo kati ya serikali yake na viongozi wa kundi la wanamgambo wa Taliban katika kujaribu kusaka suluhu ya kudumu nchini humo, ...

Aliekuwa rais wa zamani wa misri Hisni Mubarak
28/12/2011 - Misri-Mubarak

Kesi ya Hosni Mubarak kusikilizwa tena jumatano hii

Kesi ya mauaji na matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak inatarajiwa kuanza kusikilizwa hii leo baada ya kuahirishwa kwa kipindi cha miezi mitatu.

Maandamano ya wananchi wa Jimbo la Casamence wakidai ulinzi zaidi
28/12/2011 - Senegal-Casamence

Wakaazi wa mji wa Casamence waandamana kuitaka serikali ya Senegal kuwalinda

Zaidi ya wananchi mia nne toka mji wa Casamance kusini mwa nchi ya Senegeal wameandamana kushinikiza serikali kupeleka vikosi vya jeshi katika eneo hilo kukabiliana na waasi ambao wamekuwa ...

Wataalamu wa maswala ya uchaguzi kutoka Marekani
28/12/2011 - DRCongo-Uchaguzi

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwapokea wataalamu wa maswala ya uchaguzi kutoka Marekani

Ujumbe maalumu wa wataalamu wa masuala ya kura toka nchini Marekani wanatarajiwa kuwasili nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo DRC mnamo mwezi ujao kwa lengo la kuishauri tume ya uchaguzi ...

Close