Dunia

Syndicate contentDUNIA
Wanajeshi wa serikali ya DRC
21/05/2013 - DRC

Waasi 15 wa M23 na wanajeshi wanne wa serikali ya DRC wauwawa kufuatia mapigano mapya Kaskazini mwa Goma

Waasi 15 wa M23 na wanajeshi wanne wa serikali ya DRC FARDC wameuwawa kufuatia mapigano mapya yaliyoibuka tena leo Jumanne huko Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo  vyanzo vya ...

Moto ukiwaka baada ya kulipuka bomu
21/05/2013 - Afghanistani

Askari 11 wa Afghanistan wauwawa kwa bomu

Askari 11 wa Afghanistani wameuwawa Magharibi mwa Afghanistan baada ya bomu lililokuwa limetegwa kando ya barabara kulipuka leo Jumanne pamoja na mapigano Kusini mwa eneo hilo tete maafisa ...

Kikosi cha IDF kikijibu mashambulizi
21/05/2013 - Israel-Syria

Israel yajibu mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Syria

Askari wa Israel wanaofanya doria kwenye eneo lenye mgogoro la milima ya Golani mpakani na Syria wamefanya mashambulizi ya malipizi baada ya kushambuliwa usiku wa manane,Taarifa ya vikosi vya ...

Madhara ya Kimbunga aina ya Tornado
21/05/2013 - MAREKANI

91 wauwawa kwa kimbunga 20 wakiwa watoto wa shule nchini Marekani

Kimbunga kikubwa cha Tornado kimeukumba mji wa Oklahoma mapema leo Jumatatu na kubomoa vitalu vya nyumba, shule mbili na kuua takribani watu 91 ikiwa ni pamoja na watoto 20, viongozi wa mitaa ...

Waziri mkuu wa China Li Keqiang akiwa na waziri mkuu wa India Manmohan Singh
20/05/2013 - CHINA-INDIA

India na China zaapa kutatua mzozo wa mpaka baina yake

Mawaziri wakuu wa India na China wameapa kutatua mgogoro wa mpaka ambao umechachusha mahusiano baina ya nchi hizo mbili kwa miongo kadhaa, wakisema kuwa mahusiano mazuri kati ya mataifa hayo ...

Wanajeshi wa Syria
20/05/2013 - SYRIA

Takribani waasi 56 wauwawa katika shambulizi la wanajeshi wa Syria

Waasi wa Syria wapatao 56 wameuwawa usiku wa kuamkia leo baada ya jeshi la serikali kutekeleza mashambulizi zaidi ya anga kwenye ngome kuu ya wapiganaji wa Syria mjini Qusary, siku moja toka rais ...

Treni mbili za abiria baada ya kugongana
18/05/2013 - MAREKANI

Ajali ya treni yajeruhi 60 Marekani

Watu sitini wamejeruhiwa watano kati yao wanahalimbaya baada ya treni za abiria kugongana katika kitongoji cha Kaskazini mwa jiji la New York nchini Marekani.

 

Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa na waziri wa mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov
17/05/2013 - SYRIA

Umoja wa mataifa na Urusi kuitisha mkutano wa haraka kuhusu Syria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon na Urusi zimekubaliana kwamba mkutano wa amani kuhusu Syria lazima ufanyike haraka iwezekanavyo hata kama Urusi inapinga shinikizo la dunia kwamba ...

Rais wa Ufaransa François Hollande
17/05/2013 - Ufaransa

Rais wa Ufaransa ayataka mataifa ya Ulaya kumaliza tatizo la ajira

Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametaka mataifa ya Ulaya kuhakikisha yanasimama kidete kumaliza tatizo la ajira ambalo limezikumba nchi hizo sambamba na kuangalia hatua za kuimarisha uchumi wa ...

Rais wa Marekani Barack Obama
17/05/2013 - MAREKANI

Rais Obama aliomba bunge la Congress kuongeza bajeti ili kuimarisha usalama

Rais wa Marekani Barack Obama amewahimiza wabunge wa Congress kuongeza bajeti itakayowezesha kuimarisha usalama katika balozi zake Indianian kote ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka raia wanne wa nchi ...

12/05/2013 - TANZANIA-DRC

Wanajeshi wa Tanzania wawasili DRC kukabiliana na waasi

Kundi la kwanza la wanajeshi 100 toka nchini Tanzania limewasili jumamosi hii katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC katika mpango wa amani wa Umoja wa Mataifa UN wa ...

Waziri mkuu wa Uturuki Tayyip Erdogan,amethibitisha Syria kutumia silaha za kemikali dhidi ya wapinzani
11/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-UTURUKI

Uturuki yathibitisha Syria kutumia silaha za kemikali

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema anavithibitisho kwamba majeshi ya serikali ya Syria yanatumia silaha zenye kemikali dhidi ya majeshi ya upinzani.

Raisi wa Ufaransa François Hollande sambamba na Raisi wa Niger Mahamadou Issoufou.
11/05/2013 - MALI-UFARANSA-NIGER

Mali yaomba ufadhili Umoja wa Ulaya

Nchi ya Mali imeomba kwa wafadhili wa kimataifa hususan umoja wa ulaya EU takribani yuro bilioni 2.6 kusaidia kujenga upya nchi na kujaribu kuzuia kurejea kwa wapiganaji waasi ambao walifukuzwa ...

Moshi mkubwa uliosababishwa na shambulizi la angali lililofanywa na Majeshi ya Israeli kulenga kambi za utafiti wa kijeshi nchini Syria
10/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-ISRAELI

Syria yasema itajibu mashambulizi mapya ya Kijeshi yatakayofanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya taifa hilo huku Marekani ikijiapiza kuilinda

Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto ambao wanakabiliwa na mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ICC
10/05/2013 - KENYA-UMOJA WA MATAIFA

Utata waibuka nchini Kenya baada ya kuandikwa kwa barua ya kuliomba Baraza la Usalama kuitaka Mahakama ya ICC kufuta kesi dhidi ya Kenyatta na Ruto

Serikali ya Awamu ya Nne nchini Kenya imeendelea kuandamwa na mzimu wa kesi ya inayowakabili Rais Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu wake William Samoei Arap Ruto ambao sasa wanataka kesi dhidi yao ...

Kikosi cha Uokoaji kikiendelea kupata miili zaidi ya watu waliopoteza maisha kwenye jengo la ghorofa nane nchini Bangladesh
10/05/2013 - BANGLADESH

Idadi ya watu waliopoteza maisha nchini Bangladesh kufuatia kuanguka kwa ghrofa imefikia zaidi ya watu 1000

Idadi ya vifo vilivyosababishwa na kuanguka kwa jengo la ghorofa nane nchini Bangladesh vimefikia zaidi ya elfu moja huku Kikosi cha Uokoaji kikiendele kuondoa vifusi vilivyosalia kuangalia iwapo ...

Wabunge hawa wa Zimbabwe ni miongoni mwa waliopitisha muswada wa katiba mpya
10/05/2013 - ZIMBABWE

Wananchi wa Zimbabwe wakaribia kupata Katiba Mpya baada ya Bunge nchini humo kupitisha muswada huo

Bunge nchini Zimbabwe limeidhinisha muswada wa katiba ambao ni sehemu ya upatikana wa katiba mpya nchini humo iliyopigiwa kura ya ndiyo na asilimia tisini ya wananchi wa Taifa hilo mapema mwezi ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan Nasser Judeh
09/05/2013 - MAREKANI-SYRIA-JORDAN

Marekani yasisitiza lazima Rais Assad aondoke madarakani ndiyo suluhu ya kisiasa itapatikana nchini Syria

Marekani imeendelea kushikilia msimamo wake wa kutaka Rais wa Syria Bashar Al Assad aachie wadhifa wake kama sehemu ya kufikiwa suluhu ya kisiasa ya kumalizwa kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya ...

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani ambaye ametekwa na watu wenye silaha
09/05/2013 - PAKISTAN

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Raza Gilani atekwa nyara kwenye kampeni za mwisho na watu wenye silaha

Watu wenye silaha nchini Pakistan wamemtekanyara mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa taifa hilo Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani katika siku ya mwisho ya kampeni kabla ya wananchi wa Taifa hilo ...

Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi bendera Kiongozi wa Batalioni inayoelekea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani
09/05/2013 - TANZANIA-DRC-UMOJA WA MATAIFA

Kikosi cha Tanzania chaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa UN

Kikosi cha kwanza cha Wanajeshi wa Tanzania kinachoenda Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani na kukabiliana na Makundi ya Waasi kinaondoka siku ya alhamisi kikiwa na ...

Close