E.A.C.

Syndicate contentE.A.C.
Muthui Kiruki msemaji wa serikali ya Kenya
21/05/2013 - KENYA-MAREKANI

Serikali ya Kenya yasema haina wasiwasi ikiwa rais Obama hatazuru taifa hilo

Serikali ya Kenya imesema haina kinyongo na rais wa Marekani Barak Obama ambaye anatarajia kuzuru mataifa ya Afrika mwezi ujao huku akiiondoa Kenya miongoni mwa nchi atakazo zitembelea, na ...

Kiongozi wa Jeshi la uasi, LRA, Joseph Kony
21/05/2013 - UGANDA

Kundi la LRA ladaiwa kutekeleza mauaji ya watu takribani laki moja

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imearifu kwamba kundi la waasi la Lord Resistence Army (LRA) linaloongozwa na Joseph Kony anayetafutwa kwa udi na uvumba na mahakama ya kimataIfa ya uhalifu wa kivita ya ...

Rais wa Kenya Uhuru Mwigai Kenyatta
20/05/2013 - KENYA

Rais Kenyatta awaonya wahujumu usalama

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa onyo kali kwa wanaohujumu usalama katika taifa hilo ambalo limeshuhudia utovu wa usalama kwa siku za hivi karibuni, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha yao.

Waziri wa zamani wa Kenya Mukhisa Kituyi
16/05/2013 - KENYA

Waziri wa zamani wa Kenya ateuliwa kuongoza taasisi ya biashara ya umoja wa mataifa

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon amemteua waziri wa zamani wa Kenya na mbunge Mukhisa Kituyi kuongoza taasisi ya biashara na maendeleo ya umoja huo UNCTAD wakati mkuu wa taasisi hiyo ...

Wajumbe wa mkutano wa Jumuiya ya Madola
16/05/2013 - UGANDA

Mkutano wa Jumuiya ya Madola waazimia kumaliza umasikini kwa nchi wanachama

Mkutano wa saba wa Jumuiya ya Madola unaoendelea huko kampala nchini Uganda umeazimia kufanya kila linalowezekana kumaliza umasikini kwa mataifa wanachama.

 

Inspekta jenerali David Kimayo
16/05/2013 - KENYA

Jeshi la polisi Kenya lakanusha kukithiri kwa uhalifu nchini humo

Jeshi la polisi nchini Kenya limekanusha madai kuwa wameshindwa kudhibiti hali ya usalama katika taifa hilo, haswa baada ya kutokea kwa visa vya utovu wa usalama katika kaunti za Bungoma na ...

15/05/2013 - RWANDA

Watu sita wapoteza maisha baada ya jengo kuporomoka nchini Rwanda

Watu sita wamepoteza maisha na zaidi ya thelathini wamejeruhiwa baada ya jengo kuporomoka Kaskazini Mashariki mwa Rwanda huku zoezi la uokozi likitamatishwa hii leo siku moja baada ya tukio ...

Bunge la Kenya
15/05/2013 - KENYA

Bunge la Kenya laidhinisha majina 16 ya mawaziri

Bunge nchini Kenya limeidhinisha majina kumi na sita ya wateule wa nafasi ya uwaziri walioteuliwa na rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto na wanatarajiwa kuapishwa baadaye leo kuanza ...

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto ambao wanakabiliwa na mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ICC
10/05/2013 - KENYA-UMOJA WA MATAIFA

Utata waibuka nchini Kenya baada ya kuandikwa kwa barua ya kuliomba Baraza la Usalama kuitaka Mahakama ya ICC kufuta kesi dhidi ya Kenyatta na Ruto

Serikali ya Awamu ya Nne nchini Kenya imeendelea kuandamwa na mzimu wa kesi ya inayowakabili Rais Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu wake William Samoei Arap Ruto ambao sasa wanataka kesi dhidi yao ...

Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi bendera Kiongozi wa Batalioni inayoelekea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani
09/05/2013 - TANZANIA-DRC-UMOJA WA MATAIFA

Kikosi cha Tanzania chaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa UN

Kikosi cha kwanza cha Wanajeshi wa Tanzania kinachoenda Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani na kukabiliana na Makundi ya Waasi kinaondoka siku ya alhamisi kikiwa na ...

Close