Zanzibar-Tanzania -
Makala iliyochapishwa tarehe : Jumatano 08 februari 2012 -
Taarifa za ivi karibuni : Thursday 09 februari 2012
Bei ya vyakula kupanda katika mkesha wa tamasha la Sauti Za Busara

Selemani Mfanya biashara katika Soko La Darajani zanzibar (a.k.a.) kuumaliketi)akizugumzia ju ya kupanda kwa Bei ya vyakula
RFI/EBBY
Wakazi wa mjii mkongwe wa Zanzibar wamelalamikia kupanda kwa bei ya vyakula visiwani humo wakati hali ya kipato ikizidi kushuka chini katika msimu huu wa Tamasha la Sauti Za Busara.











MAELEZO
Tuma maoni yako kwa makala haya