Zanzibar-Tanzania
Sauti za Busara yakuza utalii Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imekiri Tamasha la Sauri Za Busara ambalo limekuwa likifanyika kila mwaka visiwani humo limekuwa chanzo kizuri cha kutangaza na hata kukuza utalii wake.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 00:54
Matangazo ya kibiashara
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Abdallah Jidah Hassan amesema ujio wa wageni kushuhudia Tamasha hilo umekuwa pia ukichangia kuimarisha mahusiano mema na jamii nyingine.