Zanzibar-Tanzania - 
Makala iliyochapishwa tarehe : Ijumaa 10 februari 2012 - Taarifa za ivi karibuni : Ijumaa 10 februari 2012

Ajira huongezeka kila linapo fanyika tamasha la Sauti za Busara

Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara Yuduf Mahmoud
Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara Yuduf Mahmoud
busaramusic

Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za busara Yusuf Mahmoud amesema kila linapofanyika tamasha hilo visiwani Zanziabar kumekuwa kukiongezeka ajira kwa wananchi na kuchangia kupunguza umaskini. Mkurufgenzi Mahmoud amesema kuwa Tamasha la Sauti za Busara licha ya kuongeza ajira lakinni vijana wamekuwa wakiongeza pato lao binafsi ba hata kwa wasanii wa hapa nyumbani ambao wanashiriki.

Yusuph Mahmoud mkurugnezi Sauti za Busara
 

10/02/2012

m

tags: Sauti za Busara - Zanzibar
MAELEZO
Tuma maoni yako kwa makala haya
Maudhui ya eneo hili yatakuwa ya kibinafsi na kuto kuonyeshwa kwa watu wote.
To prevent automated spam submissions leave this field empty.
CAPTCHA
Swali hili ni kwa ajili ya kupima kama wewe si roboti ili kuzuia spam ya papo kwa papo.
Close