Muziki Ijumaa
Happy Famba msanii wa Burundi anaye tamba katika tasnia ya Muziki
Imechapishwa:
Cheza - 10:36
Makala haya ya Muziki Ijumaa tunamleta kwenu msanii wa tasnia ya Muziki nchini Burundi, Happy Famba, ambaye anazungumzia kuhusu harakati zake za muziki na ubunifu wake katika kuunda kundi la Multi Talent.