Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

 
Sayari ya dunia
Sayari ya dunia

Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.

Habari zaidi

MATANGAZO YA MWISHO : Jumamosi 04 mei 2013
Kundi la Waasi la M23 la Nchini DRC lapata pigo baada ya Maafisa wake wa Kijeshi kuasi huku Msuluhishi wa Mgogoro wa Syria Lakhdar Brahimi akitangaza kubwaga manyanga

Kundi la Waasi la M23 la Nchini DRC lapata pigo baada ya Maafisa wake wa Kijeshi kuasi huku Msuluhishi wa Mgogoro wa Syria Lakhdar Brahimi akitangaza kubwaga manyanga

Waasi wa M23 wa Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wameanza kudhoofika baada ya Maafisa wao wa Ngazi ya juu ya Kijeshi kutangaza kuasi na kujisalimisha kwenye Makao Makuu ya Vikosi vya ...

Nyaraka

Jumamosi 27 aprili 2013
Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta akiwa na Naibu Wake William Samoei Ruto wakitaja majina ya Mawaziri Wateule

Mawaziri Wateule wa Baraza la Mawaziri wa Kenya watajwa huku Serikali ya Syria ikiingia lawamani kwa kutumia silaha za kemikali

Majina ya Mawaziri Wateule kumi na sita watakaounda Baraza la Mawaziri lenye Mawaziri kumi na wanane nchini Kenya yametangazwa huku mjadala ukizuka kutokana na kutajwa kwa wanasiasa wawili wa ...

Jumamosi 20 aprili 2013
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC Joseph Kabila wa Kabange ambaye serikali yake imepigiwa kura ya kutokuwa na imani nayo

Wabunge Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC waonesha kutokuwa na imani na Serikali huku Marekani ikishuhudia milipuko Boston na Texas

Wabunge nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC juma hili walioneshwa kutokuwa na imani na serikali ya Rais Joseph Kabila wa Kabange na hivyo wakafikisha hoja ya kupiga kura ya kutokuwa na ...

Jumamosi 13 aprili 2013
Rais wa Awamu ya Nne wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta akila kiapo cha kuongoza nchi hiyo baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika tarehe 4 Machi

Uhuru Muigai Kenyatta aapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Kenya na Wananchi wa Uingereza waomboleza kifo cha Waziri Mkuu wa Kwanza Mwanamke Margareth Thatcher

Uhuru Muigai Kenyatta aapishwa kushikwa wadhifa wa Urais wa nne katika Jamhuri ya Kenya pamoja na Naibu Rais William Samoei Arap Ruto katika sherehe ambazo zimehudhuriwa na Marais kumi kutoka nchi ...

MPANGO WA MAKALA
Close