Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
Katika makala haya utafahamu mengi kutoka kwa msanii Leonce Ngabo msanii na mtayarishaji wa matamasha mbalimbali ya sanaa nchini Burundi, Edmond Lwangi Tcheli anakuunganisha naye, Karibu.
Karibu katika makala hii ya Nyumba ya Sanaa na hii leo utasikia mambo mbalimbali yahusuyo muziki wa Injili, Ungana naye Edomond Lwangi Tcheli katika makala haya ambaye anazungumza na Julius Owino ...
Makala ya Nyumba ya sanaa imejikita katika msiba wa msanii wa miondoko ya Hip HOP jijini Dar es Salaam nchini Tanzania Albert Mangweha aliyefariki ghafla nchini Afrika ya Kusini mwishoni mwa ...
Msanii Nganga Lito leo ndani ya Nyumba ya sanaa akielezea mambo mbalimbali kuhusu mziki wake.Pata fursa ya kipekee kujua mengi kuhusu malengo na harakati zake kimuziki.
Leonce Ngabo msanii na mwandaaji wa matamasha ya sanaa nchini Burundi
Katika makala haya utafahamu mengi kutoka kwa msanii Leonce Ngabo msanii na mtayarishaji wa matamasha mbalimbali ya sanaa nchini Burundi, Edmond Lwangi Tcheli anakuunganisha naye, Karibu.