Ebby Shaban Abdalah mtangazaji wa makala ya Siha Njema
RFI kiswahili
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
Ugonjwa wa malaria umeendelea kuwa gonjwa linalogharimu maisha ya watu wengi zaidi kwa mataifa yaliyopo Kusini mwa Jangwa la Sahara kipindi hiki ambacho watafiti wanaendelea kusaka dawa ambazo ...
Tatizo la kuharibika kwa mimba bado ni tatizo linaloathiri akina mama na hata kusababisha vifo huku jitihada mbalimbali zikifanyika ili kukabiliana tatizo hilo.
Makala haya yanaangalia ugonjwa wa Bawasili ambao umekuwa ukiwakumbwa watu wengi kwenye jamii na wengi wao wanashindwa kupata tiba kutokana na kushindwa kuufahamu ugonjwa wenyewe kwa wakati!!
Tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2012, makala ya Siha Njema inakuletea mapitio maalumu ya makala za Siha Njema zilizokujia kupitia rfi kiswahili kwa mwaka huu.
Tafiti zinavyochangia mapambano ya kutokomeza Ugonjwa wa Malaria nchini Tanzania
Ugonjwa wa malaria umeendelea kuwa gonjwa linalogharimu maisha ya watu wengi zaidi kwa mataifa yaliyopo Kusini mwa Jangwa la Sahara kipindi hiki ambacho watafiti wanaendelea kusaka dawa ambazo ...