Talisman Brise

 
Le talisman brise photo

Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.

Habari zaidi

MATANGAZO YA MWISHO : Jumapili 06 mei 2012
Profesa Abubakar abainika kuwa bandia

Profesa Abubakar abainika kuwa bandia

Mambao yamekuwa mambo,Profesa Abubakar na daktarai wabainika kuwa profesa bandia na daktari bandia...fuatilia..

Nyaraka

Jumapili 29 aprili 2012
Kwame akiwa na askari polisi wakijadili madai ya mtekaji nyara

Watekaji nyara wadai pesa ili kumwachia profesa Omar

Katika siku ya leo polisi wapata taarifa za madai kutoka kwa watekaji nyara wa Profesa Omar ambao wanadai pesa ili kumwacha huru.Endelea..

Jumapili 22 aprili 2012

Kwame anamtumia mbinu mbali mbali za kumpata Profesa Omar ikiwemo kumtumia mganga wa jadi, Je atafanikiwa?

Kwamé na Nathalie wanatafuta kufungua jalada ya kompyuta ya mkononi ya Profesa Omar,ili wajue siri iliyopo nyuma ya kutekwa nyara kwa Profesa huyo, je, watafanikiwa? Sikiliza uburudike.

Jumapili 15 aprili 2012

Kwame bado anakabiliwa na changamoto ya kufika alipo Profesa Omar .

Katika makala haya tutamuona kwame akipata mkanganyiko baada ya kumuona mtu aliyemdhania kuwa ni rafiki wa profesa Omar, je ni nani mtu huyo?

MPANGO WA MAKALA
Close