Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa suluhu pekee ya mzozo wa syria ni raisi Assad kujiondoa madarakani.Kiongozi huyo amesema hayo wakati huu kuelekea mjadala wa kimataifa unaohusu jitihada za kuleta amani ya Syria.
Kocha wa timu ya taifa ya Uganda Milutin 'Micho' Sredojevic hatakuwa na muda wa mapumziko wakati huu ambapo anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuandaa kikosi cha taifa kitakachoumana na kikosi cha ...
Mchezaji namba moja Marion Bartoli na namba mbili Tamira Paskez katika mchezo wa tenisi wameondolewa katika mzunguko wa kwanza wa mashindano ya Kimataifa ya Strasbourg nchini Ufaransa leo ...
Mabingwa watetezi wa taji la Kagame katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA Yanga ya Tanzania imejumuishwa katika kundi la tatu pamoja na Express ya Uganda,Ports ya Djibouti na Vitalo la ...
Kocha wa Togo Didier Six ametoa siku nane kwa shirikisho la soka nchini humo kumrejeshea gharama za usafiri zenye thamani ya Euro laki moja la sivyo atajiuzulu nafasi hiyo.