Mashariki ya Kati

Syndicate contentMASHARIKI YA KATI
Rais wa Syria Bashar ala Assad
25/05/2013 - SYRIA

Ushiriki wa Syria katika mkutano wa kimataifa wa kusaka amani wazua wasiwasi

Kauli ya urusi kuwa serikali ya rais Bashar ala Assad imekubali kuhudhuria mkutano wa amani wa kimataifa juu ya mgogoro wa Syria imeweka maswali na wasiwasi miongoni mwa wapinzani waliogawanyika ...

Askari watiifu wa serikali ya raisi Bashar Al Assad wakiwa katika moja ya operesheni zao kupambana na wapinzanimai 2013.
24/05/2013 - SYRIA-URUSI-UINGEREZA

Upinzani waitaka serikali ya Assad kuthibitisha kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kutatua mzozo wa syria

Upinzani nchini Syria umeitaka serikali ya raisi Assad kutangaza kama itahudhuria mkutano wa kimataifa wa kuisaka suluhu baada ya Urusi kudai serilaki hiyo imekubali kwa masharti kuhudhuria ...

Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza,William Hague
23/05/2013 - UINGEREZA-MASHARIKI YA KATI-

Waziri Hague aipa kipaumbele amani ya mashariki ya kati

Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa suala la amani kati ya israel na palestina linapewa kipaumbele wakati huu ambapo a,ekutana na waziri mkuu wa Israel Benjamin ...

Raisi wa Syria,Bashar Al Assad ambaye majeshi yake yanaendeleza mapambano dhidi ya makundi mbalimbali yanayopinga utawala wake nchini humo.
23/05/2013 - SYRIA-URUSI-UINGEREZA

Mataifa ya magharibi yaendelea kumkalia kooni raisi wa Syria

Mataifa ya magharibi yamemtaka rais wa Syria Bashar al-Asad kuhakikisha anashiriki kwenye suluhu ya kupata amani nchini humo na kuonya kuwa iwapo atashindwa kuzungumza kuhusu kuundwa kwa serikali ...

Kikosi cha IDF kikijibu mashambulizi
21/05/2013 - Israel-Syria

Israel yajibu mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Syria

Askari wa Israel wanaofanya doria kwenye eneo lenye mgogoro la milima ya Golani mpakani na Syria wamefanya mashambulizi ya malipizi baada ya kushambuliwa usiku wa manane,Taarifa ya vikosi vya ...

Wanajeshi wa Syria
20/05/2013 - SYRIA

Takribani waasi 56 wauwawa katika shambulizi la wanajeshi wa Syria

Waasi wa Syria wapatao 56 wameuwawa usiku wa kuamkia leo baada ya jeshi la serikali kutekeleza mashambulizi zaidi ya anga kwenye ngome kuu ya wapiganaji wa Syria mjini Qusary, siku moja toka rais ...

Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa na waziri wa mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov
17/05/2013 - SYRIA

Umoja wa mataifa na Urusi kuitisha mkutano wa haraka kuhusu Syria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon na Urusi zimekubaliana kwamba mkutano wa amani kuhusu Syria lazima ufanyike haraka iwezekanavyo hata kama Urusi inapinga shinikizo la dunia kwamba ...

Raia wakishuhudia madhara ya bomu
16/05/2013 - Afghanistani

Shambulizi la bomu laua 14 Afghanistan

Shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari limesababisha vifo vya watu 14 wakiwemo wanajeshi sita wa umoja wa kujihami wa nchi za Magharibi NATO mjini Kabul nchini Afghanistan.

Raia wakishuhudia madhara ya bomu
16/05/2013 - Iraq

Watu zaidi ya 35 wauwawa nchini Iraq kufuatia mashambulizi ya mabomu

Watu zaidi ya thelathini na watano wameuawa huku wengine zaidi ya mia moja wakijeruhiwa kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya mabomu yaliyowalenga watu wa jamii ya kishia katika mji mkuu wa Iraq, ...

Kombora likiandaliwa kurushwa
15/05/2013 - Israel-Syria

Makombora mawili ya Syria yaanguka mlima Hermon nchini Israel

Makombora mawili yaliyorushwa kutoka Syria yameanguka katika eneo la mlima Hermon nchini Israel leo Jumatano tukio ambalo hata hivyo halijasababisha madhara yoyote msemaji wa jeshi amearifu.

Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
14/05/2013 - SYRIA

Rais wa Urusi na Waziri mkuu wa Israel wajadiliana kuhusu mzozo wa Syria

Rais wa Urusi Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamejadili mzozo wa Syria leo Jumanne huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu Urusi kupeleka silaha katika serikali ya Damascus na ...

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron
14/05/2013 - SYRIA

Marekani na Uingereza zatilia mkazo ushirikiano wa Urusi katika kutatua mzozo wa Syria

Marekani na Uingereza wameendeleza shinikizo kwa Urusi ili iweze kushirikiana nao katika kuhakikisha wanapata suluhu ya mgogoro wa Syria huku msimamo wa mataifa hayo ukiwa wazi kwamba ni lazima ...

Waziri mkuu wa Uturuki Tayyip Erdogan,amethibitisha Syria kutumia silaha za kemikali dhidi ya wapinzani
11/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-UTURUKI

Uturuki yathibitisha Syria kutumia silaha za kemikali

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema anavithibitisho kwamba majeshi ya serikali ya Syria yanatumia silaha zenye kemikali dhidi ya majeshi ya upinzani.

Moshi mkubwa uliosababishwa na shambulizi la angali lililofanywa na Majeshi ya Israeli kulenga kambi za utafiti wa kijeshi nchini Syria
10/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-ISRAELI

Syria yasema itajibu mashambulizi mapya ya Kijeshi yatakayofanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya taifa hilo huku Marekani ikijiapiza kuilinda

Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan Nasser Judeh
09/05/2013 - MAREKANI-SYRIA-JORDAN

Marekani yasisitiza lazima Rais Assad aondoke madarakani ndiyo suluhu ya kisiasa itapatikana nchini Syria

Marekani imeendelea kushikilia msimamo wake wa kutaka Rais wa Syria Bashar Al Assad aachie wadhifa wake kama sehemu ya kufikiwa suluhu ya kisiasa ya kumalizwa kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akizungumza na Waziri wa Sheria wa Israeli Tzipi Livni
09/05/2013 - MAREKANI-ISRAELI-PALESTINA

Marekani yajiapiza kusimama kidete kuhakikisha amani ya kudumu inapatikana Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani imesisitiza itaendelea na juhudi zake za kuhakikisha umwagaji wa damu nchini Syria unakomeshwa huku pia ikifufua mazungumzo ya kusaka amani ya Mashariki ya Kati baina ya ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergie Lavrov
08/05/2013 - URUSI-SYRIA-MAREKANI

Lakhdar Brahimi apongeza uamuzi wa Marekani na Urusi kufikia makubaliano ya kumaliza umwagaji wa damu nchini Syria

Mpatanishi wa Mgogoro wa Syria anayetambuliwa na Umoja wa Mataifa UN na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Lakhdar Brahimi amepokea kwa mikono mawili makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Urusi ya ...

Silaha zinazotumiwa na Waasi nchini Syria zinazotajwa kuwa na kemikali ya sumu aina ya sarin
07/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-UMOJA WA MATAIFA

Umoja wa Mataifa UN na Marekani zapinga taarifa za Waasi na Wapinzani kutumia silaha za kemikali iliyotolewa na Wachunguzi wa UN

Timu ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa UN imekanusha haina ushahidi unoanonesha Waasi na Wapinzani nchini Syria wanatumia silaha za kemikali aina ya sarin kama ambavyo imeelezwa jana na Mjumbe wa ...

Mjumbe wa Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa Carla Del Ponte akitangaza hatua ya kutambua Waasi wanatumia gesi yenye sumu ya sarin nchini Syria
06/05/2013 - SYRIA-UMOJA WA MATAIFA

Waasi nchini Syria watuhumiwa kutumia silaha zenye sumu ya sarin kwenye vita dhidi ya Majeshi ya Serikali ya Rais Assad

Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa UN imebaini wapiganaji wa Upinzani nchini Syria ndiyo wanatumia silaha za kemikali kwenye vita vyao dhidi ya Serikali ya Rais Bashar Al Assad kulingana na ...

Close