Michezo

Mshindi wa medali tatu za dhahabu kwenye Olimpiki Usain Bolt akishangaa baada ya kushindwa kwenye Mashindano ya Rome na Justin Gatlin
ROME-RIADHA

Usain Bolt ashindwa kwa mara ya kwanza kwenye Mashindano ya Riadha ya Rome na Justin Gatlin

Bingwa wa medali ya dhahabu kwenye mashindano ya Olimpiki kwenye Mbio za mita mia moja Usain Bolt kwa mara ya kwanza ameshindwa kupata ushirini kwenye mashindano ya riadhaa ya Rome. Bolt alijikuta akimaliza kwenye nafasi ya pili kwa mara ya kwanza nyuma Justin Gatlin alyefanikiwa kumaliza mbio za mita mia moja kwa kutumia sekunde 9.94 kitu ambacho kilimuacha akistaajabu.

Syndicate contentMICHEZO
19/06/2013 - SUDANI

Klabu ya Soka ya Uganda yaanza vizuri harakati za kutafuta ubingwa kanda ya Afrika Mashariki na Kati

Klabu ya soka ya mapato ya URA kutoka nchini Uganda ilianza vema mashindano ya soka ya kutafuta ubingwa wa klabu bingwa katika kanda ya Afrika Mashariki na kati kwa kuwachabanga El Hilal bao 1 kwa ...

Timu ya Nigeria ikichuana na Tahiti nchini Brazili
18/06/2013 - Brazili

Nigeria yaanza vyema michuano ya Mabara inayoendelea nchini Brazili

Mabingwa soka barani Afrika Nigeria wameanza vizuri michuano ya mabara inayoendelea nchini Brazil baada ya kuifunga Tahiti mabao 6 kwa 1 katika mchuano wa kundi B.

18/06/2013 - Sudani

Michuano ya Cecafa yaanza leo

Michuano ya soka kuwania ubingwa wa klabu bora katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati inafungua milango yake hii leo  katika majimbo ya Darfur na Koridafn Kusini nchini Sudan.

Michuano ya CECAFA hufadhiliwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame
17/06/2013 - SUDANI

Michuano ya kuwania ubingwa wa klabu bingwa Afrika mashariki na kati kuanza kesho

Makala ya mwaka huu ya michuano ya kuwania ubingwa wa klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati linalofadhiliwa na rais wa Rwanda Paul Kageme yaanaza kesho Jumanne katika jimbo la Darfur na Kordofan ...

Mchezaji wa Cote d Ivoire, Yahya Toure aliyepeleka kilio Taifa Stars ya Tanzania
17/06/2013 - WORLD CUP QUALIFYER-AFRIKA

Misri, Ethiopia,Cote d Ivoire, Tunisia, Algeria zafuzu katika harakati za kukata tiketi kuelekea Brazil

Mataifa ya Misri, Ethiopia, Cote dvoire , Tunisia na Algeria yamekuwa ya kwanza kufuzu katika mzunguko wa mwisho wa kutafuta tiketi ya kufuzu kwa kombe la dunia nchini Brazil baada ya kushinda ...

kikosi cha Taifa Stars cha Tanzania kitakachovaana na Cote d' Ivoire
16/06/2013 - MICHEZO

Leo ni leo Stars na Cote d'Ivoire

Hatimaye ule mchezo uliongojewa kwa hamu baina ya timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars na ile ya Cote d'Ivoire kutimua vumbi katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ...

14/06/2013 - RIADHA

Usain Bolt aweka rekodi mpya katika mbio za mita 200

Bingwa wa michezo ya Olimpiki katika mbio za mita 100 na 200 kwa upande wa wanaume Mjamaica Usain Bolt aliweka rekodi mpya katika mbio za Mita 200 wakati wa mashindano ya kimataifa ya Oslo ...

14/06/2013 - SOKA

Super Eagles kuelekea Brazil Jumamosi baada ya kumaliza mgomo wa marupurupu

Mabingwa wa soka barani Afrika Nigeria walishindwa kusafiri kwenda Brazil siku ya Alhamisi kwa maandalizi ya kombe la dunia baina ya mabingwa wa mashirikisho baada ya kuzuka kwa malumbano kati ...

13/06/2013 - SOKA

CECAFA yapata vlabu 3 vipya kushiriki mashindano ya Kagame katika jimbo la Darfur

Shirikisho la soka katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA limetangaza vlabu vitatu vitakavyochukua nafasi ya Tusker FC ya Kenya, Simba FC na mabingwa watetezi Yanga FC kutoka Tanzania ...

13/06/2013 - SOKA

Messi akana madai ya kutolipa kodi nchini Hispania

Mchezaji wa Kimataifa wa Argentina ambaye pia anacheza soka la kulipwa katika klabu ya Barcelona ya Uhispania Lionel Messi amekanusha madai kuwa yeye na baba yake Jorge Horacio Messi wamekuwa ...

Close