Bingwa wa medali ya dhahabu kwenye mashindano ya Olimpiki kwenye Mbio za mita mia moja Usain Bolt kwa mara ya kwanza ameshindwa kupata ushirini kwenye mashindano ya riadhaa ya Rome. Bolt alijikuta akimaliza kwenye nafasi ya pili kwa mara ya kwanza nyuma Justin Gatlin alyefanikiwa kumaliza mbio za mita mia moja kwa kutumia sekunde 9.94 kitu ambacho kilimuacha akistaajabu.