Ufaransa-Uingereza - 
Makala iliyochapishwa tarehe : Jumatatu 11 juni 2012 - Taarifa za ivi karibuni : Jumanne 12 juni 2012

Ufaransa kuchuana na Uingereza michuano ya Euro 2012

Wachezaji wa ufaransa wakiwa mazoezini jana Juni 10
Wachezaji wa ufaransa wakiwa mazoezini jana Juni 10
REUTERS/Nigel Roddis

Na Ali Bilali

Timu ya taifa ya Ufaransa inashuka uwanjani jumatatu hii kupepetana na Uingereza katika michauo ya kombe la Ulaya inayoendelea nchini Ukraine Polande. Vijana wa Laurent Blanc wamesema wapo tayari kupambana kuhakikisha wanaibuka washindi katika mechi yao hiyo ya kwanza katika michuano hiyo.

Wakati Ufaransa wanakutana na Uingereza, wenyeji wa michuano hiyo Ukraine wataipokea Sweden katika mechi ya pili. Hapo jana Italia ilikwenda sare ya kufungana bao moja kwa moja na Uhispania

tags: Ufaransa - Uingereza
MAELEZO
Tuma maoni yako kwa makala haya
Maudhui ya eneo hili yatakuwa ya kibinafsi na kuto kuonyeshwa kwa watu wote.
To prevent automated spam submissions leave this field empty.
CAPTCHA
Swali hili ni kwa ajili ya kupima kama wewe si roboti ili kuzuia spam ya papo kwa papo.
Close