Jukwaa la Michezo
Droo ya michuano ya soka ya UEFA na Mbio za London Marathon
Imechapishwa:
Cheza - 20:55
Mabingwa watetezi wa mchezo wa soka wa klabu bingwa barani Ulaya Bayern Munich, Chelsea, Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu katika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo.Tunathathmini pia mbio za riadha za London Marathon pamoja na timu ya taifa ya soka ya watoto wa mitaani nchini Tanzania kunyakua kombe la dunia.