NIGERIA-SOKA
Meneja wa timu ya taifa ya Nigeria afutwa kazi
Shirikisho la soka nchini Nigeria limemfuta kazi kocha wa timu ya taifa Stephen Keshi na nafasi yake kuchukuliwa na Shaibu Amodu.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Hataua hii inakuja wiki mbili baada ya NFF kuanza kuchunguza madai kuwa Keshi alikuwa ameomba kazi ya kuifunza timu ya taifa ya Cote d'Ivoire.
Keshi alinukuliwa kuwa wakala ambaye hajafahamika aliwasilisha jina lale katika Shirikisho la soka nchini Cote d'Ivoire bila ya yeye kufahamu.
NFF, imesema Keshi amekeuka mkataba wa ajira na hakuna kinachosalia bali kumfuta kazi Keshi.