Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Katika makala haya leo tunakuletea kisa cha wanaharakati wa masuala ya kijamii kupeleka nguruwe nje ya bunge la Kenya wakiwafananisha wabunge na wanyama hao wala hovyo kufuatia hatua ya ...
Wanafunzi kuazia Shule za msingi hadi Vyuo Vikuu katika Ukanda wa Afrika Mashariki wameendelea kuwa katika hatari kubwa wa kuambukizwa Virusi Vya Ukimwi na hili linatokana na wanafunzi hawa ...
Jeshi la Tanzania limeshatoa kikosi chake kinachoeleka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwa lengo la kukabiliana na Makundi yanayomiliki silaha na kuchangia pakubwa kuzorotesha ...
Utafiti uliofanywa na Shirika la Save The Children unaonesha kuwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ndiyo sehemu hatari zaidi Duniani kwa wanawake kuishia na kuweza kulea watoto zao!!
Nguruwe wazua kizaa zaa jijini Nairobi
Katika makala haya leo tunakuletea kisa cha wanaharakati wa masuala ya kijamii kupeleka nguruwe nje ya bunge la Kenya wakiwafananisha wabunge na wanyama hao wala hovyo kufuatia hatua ya ...