Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Katika makala haya leo tunakuletea kisa cha wanaharakati wa masuala ya kijamii kupeleka nguruwe nje ya bunge la Kenya wakiwafananisha wabunge na wanyama hao wala hovyo kufuatia hatua ya ...
Habari Rafiki hii leo inaangazia muswada wa sheria mpya ya uandishi wa habari nchini Burundi ambayo imepitishwa na bunge la nchi hiyo, ungana na Ali Bilali kuangalia maswala mbalimbali juu ya ...
Serikali mpya ya Kenya chini ya uongozi wa rais Uhuru Kenyatta imepata pigo la kwanza baada ya watu wasiojulikana kuwapiga risasi watu 10 mjini Garrisa karibu na Somalia walipokuwa Mkahawani.
Shirika la Kimataifa la Hass linaloshughulika na maisha ya kawaida ya watu linasema kuwa wapangaji wa nyumba nchini Kenya ndio wanaotozwa kodi kubwa ya nyumba.
Nguruwe wazua kizaa zaa jijini Nairobi
Katika makala haya leo tunakuletea kisa cha wanaharakati wa masuala ya kijamii kupeleka nguruwe nje ya bunge la Kenya wakiwafananisha wabunge na wanyama hao wala hovyo kufuatia hatua ya ...