Syndicate content
SAA 24 ZILIZOPITA
Raisi wa Syria,Bashar Al Assad ambaye majeshi yake yanaendeleza mapambano dhidi ya makundi mbalimbali yanayopinga utawala wake nchini humo.
23/05/2013 - SYRIA-URUSI-UINGEREZA

Mataifa ya magharibi yaendelea kumkalia kooni raisi wa Syria

Mataifa ya magharibi yamemtaka rais wa Syria Bashar al-Asad kuhakikisha anashiriki kwenye suluhu ya kupata amani nchini humo na kuonya kuwa iwapo atashindwa kuzungumza kuhusu kuundwa kwa serikali ...

Mcheza Tennis Bingwa nambari mbili duniani Andy Murray,majeraha yamuweka nje ya French Open safari hii
22/05/2013 - michezo

Majeraha ya mgongo yamuweka Andy Murry nje ya michuano ya French Open

Andy Murray amejiondoa katika mchuano wa French Open kutokana na majeraha mgongoni kumlazimu kufanya hivyo akiwa Italia Juma lililopita.

Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta akiwa na makamu wake William Ruto wamekana madai ya ripoti ya tume ya ukweli haki na maridhiano
22/05/2013 - KENYA

Tume ya ukweli haki na maridhiano yatoa ripoti ya ukiukwaji wa haki za binadamu kenya kuanzia uhuru.

Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wametajwa kuhusika katika vurugu za baada za uchaguzi katika ripoti iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na gamu inayochunguza ukiukwaji wa haki ...

Martin  Mutumba mshambuliaji wa pembeni anayechezea klabu ya AIK Stockhom ya nchini Sweden amerejea kikosini.
22/05/2013 - Michezo

Kocha wa Uganda Cranes kutaja kikosi kipya

Kocha wa timu ya taifa ya Uganda Milutin 'Micho' Sredojevic hatakuwa na muda wa mapumziko wakati huu ambapo anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuandaa kikosi cha taifa kitakachoumana na kikosi cha ...

Close