Siasa - Uchumi

Syndicate contentSIASA - UCHUMI
Moshi mkubwa uliosababishwa na shambulizi la angali lililofanywa na Majeshi ya Israeli kulenga kambi za utafiti wa kijeshi nchini Syria
10/05/2013 - SYRIA-MAREKANI-URUSI-ISRAELI

Syria yasema itajibu mashambulizi mapya ya Kijeshi yatakayofanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya taifa hilo huku Marekani ikijiapiza kuilinda

Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto ambao wanakabiliwa na mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ICC
10/05/2013 - KENYA-UMOJA WA MATAIFA

Utata waibuka nchini Kenya baada ya kuandikwa kwa barua ya kuliomba Baraza la Usalama kuitaka Mahakama ya ICC kufuta kesi dhidi ya Kenyatta na Ruto

Serikali ya Awamu ya Nne nchini Kenya imeendelea kuandamwa na mzimu wa kesi ya inayowakabili Rais Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu wake William Samoei Arap Ruto ambao sasa wanataka kesi dhidi yao ...

Wabunge hawa wa Zimbabwe ni miongoni mwa waliopitisha muswada wa katiba mpya
10/05/2013 - ZIMBABWE

Wananchi wa Zimbabwe wakaribia kupata Katiba Mpya baada ya Bunge nchini humo kupitisha muswada huo

Bunge nchini Zimbabwe limeidhinisha muswada wa katiba ambao ni sehemu ya upatikana wa katiba mpya nchini humo iliyopigiwa kura ya ndiyo na asilimia tisini ya wananchi wa Taifa hilo mapema mwezi ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan Nasser Judeh
09/05/2013 - MAREKANI-SYRIA-JORDAN

Marekani yasisitiza lazima Rais Assad aondoke madarakani ndiyo suluhu ya kisiasa itapatikana nchini Syria

Marekani imeendelea kushikilia msimamo wake wa kutaka Rais wa Syria Bashar Al Assad aachie wadhifa wake kama sehemu ya kufikiwa suluhu ya kisiasa ya kumalizwa kwa mgogoro uliodumu kwa zaidi ya ...

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani ambaye ametekwa na watu wenye silaha
09/05/2013 - PAKISTAN

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Raza Gilani atekwa nyara kwenye kampeni za mwisho na watu wenye silaha

Watu wenye silaha nchini Pakistan wamemtekanyara mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa taifa hilo Yousuf Raza Gilani, Ali Haider Gilani katika siku ya mwisho ya kampeni kabla ya wananchi wa Taifa hilo ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akizungumza na Waziri wa Sheria wa Israeli Tzipi Livni
09/05/2013 - MAREKANI-ISRAELI-PALESTINA

Marekani yajiapiza kusimama kidete kuhakikisha amani ya kudumu inapatikana Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani imesisitiza itaendelea na juhudi zake za kuhakikisha umwagaji wa damu nchini Syria unakomeshwa huku pia ikifufua mazungumzo ya kusaka amani ya Mashariki ya Kati baina ya ...

Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai akiwa Bungeni ambako kunatarajiwa kutumika kupitisha muswada wa katiba mpya
08/05/2013 - ZIMBABWE

Wabunge nchini Zimbabwe kufanya mjadala wa kupitisha muswada wa Sheria ya Katiba Mpya itakayotumika kwenye Uchaguzi Mkuu

Bunge nchini Zimbabwe linatarajiwa kuanza mchakato wa kupitisha mswada wa sheria mpya ulioidhinishwa kwa kura ya maoni iliyopigwa na wananchi wa Taifa hilo mwezi March mwaka huu.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergie Lavrov
08/05/2013 - URUSI-SYRIA-MAREKANI

Lakhdar Brahimi apongeza uamuzi wa Marekani na Urusi kufikia makubaliano ya kumaliza umwagaji wa damu nchini Syria

Mpatanishi wa Mgogoro wa Syria anayetambuliwa na Umoja wa Mataifa UN na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Lakhdar Brahimi amepokea kwa mikono mawili makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Urusi ya ...

Mwanasiasa Imran Khan akiwa hospitali akiendelea kupatiwa matibabu baada ya kuanguka jukwaani akiwa kwenye kampeni Jijini Lahore
08/05/2013 - PAKISTAN

Mwanasiasa Imran Khan afya yake imeimarika baada ya kupatiwa matibabu kufuatia kuanguka jukwaani

Mwanasiasa mahiri nchini Pakistani Imran Khan aliyeanguka jukwaani akiendelea na kampeni zake za kunadi sera anaendelea kupatiwa matibabu hospital kufuatia kupata majeraha kichwani na sasa hali ...

Rais wa Marekani Barack Obama akisalimiana na Rais wa Korea Kusini Park Guen-Hye katika Ikulu ya White House
08/05/2013 - MAREKANI-KOREA KUSINI-KOREA KASKAZINI

Marekani na Korea Kusini zajiapiza kuwa tayari kupambana na vitisho vinavyotolewa kwao na Taifa la Korea Kaskazini

Viongozi wa Marekani na Korea Kusini wametangaza kutokuwa na huruma yoyote dhidi ya Serikali ya Korea Kaskazini iliyo mstari wa mbele kwa kutoa vitisho vya kuyashambulia mataifa hayo mawili ...

Close