Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Kuapishwa kwa rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe

Imechapishwa:

Rais wa Zimbabwe Comrade Robert Gabriel Mugabe ameapishwa kuchukua muhula mwingine wa 7 mfululizo katika sherehe za kihistoria ambazo zilishuhudiwa na baadhi ya viongozi wa Afrika huku akiyashutumu mataifa ya magharibi wakati wa hotuba yake.

Robert Mugabe akiapishwa Agosti 22, 2013 jijini Harare.
Robert Mugabe akiapishwa Agosti 22, 2013 jijini Harare. AFP PHOTO / ALEXANDER JOE
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.