Pata taarifa kuu
Misri - Mazingira

Misri : Yazindua mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Serikali ya Misri imezindua rasmi mpango wake wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, mpango huo ukitarajiwa kutumiwa hadi mwaka 2050.

Rais wa Misri t Abdel Fattah al-Sisi
Rais wa Misri t Abdel Fattah al-Sisi © AFP/Costas Baltas
Matangazo ya kibiashara

Waziri mkuu wa taifa hilo Mustafa Madbouly, amesema Misri ni baadhi ya mataifa ambayo yameathirika pakubwa na mabadiliko ya tabia nchi akihusisha hali hiyo na hatari ya usalama kwa taifa,kwani mabadaliko yatachangia umaskini na changamoto nyinginezo.

Haya yanajiri wakati huu taifa hilo likijiandaa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 27 wa umoja wa mataifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi mwezi novemba.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.