UGANDA- SIASA-UONGOZI
Uganda: Museveni atimiza miaka 37 madarakani
Nchini Uganda, rais Yoweri Museveni ameadhimisha miaka 37 tangu alipoingia madarakani kwa kutumia vita vya msituni vilivyodumu miaka mitano na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100,000.Mengi zaidi na Mwandishi wetu, Kenneth Lukwago akiwa jijini Kampala
Imechapishwa:
Cheza - 01:36