Pata taarifa kuu

Tanzania yaidhinisha ujenzi wa bomba la mafuta Afrika Mashariki

NAIROBI – Serikali ya Tanzania, imeidhinisha kujengwa kwa bomba la mafuta la Afrika Mashariki lenye thamani ya Dola Bilioni 3.5 kutoka Hoima nchini Uganda hadi bandari ya Tanga, licha ya mradi huo kukosolewa na wanaharakati wa haki za binadamu na wale wa mazingira.

Mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta nchini  Tanzania.
Mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta nchini Tanzania. Β© sahel-intelligence
Matangazo ya kibiashara

January Makamba ni Waziri wa Nishati nchini humo.

β€œMazingira hayataharibika ndio kwa kifupi hata unapojenga nyumba lazima uchimbe msingi, kama ni uharibifu utakaotokea ni kama ule ambao unatokea unapofanya mradi wowote.”ameeleza January MakambaΒ  Waziri wa Nishati nchini Tanzania.

Mwezi uliopita, Uganda ilitoa leseni kwa kampuni zitakazojenga bomba hilo, ikiongozwa na TotalEnergies ya Ufaransa.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.