Soka Barani Afrika-Can 2015
Michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika yatazamiwa kuanza
Wakati zikisalia saa chache ili michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika ianze nchini Equatorial Guinea, ambayo ni mwenyeji wa michuano hiyo, timu 16 zitakazoshiriki michuano hiyo, zimeanza kujipanga na kujiandalia michuano hiyo.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Matangazo ya kibiashara
Timu hizo ni kutoka mataifa 16 ambayo ni:
Equatorial Guinea | Zambia | Ghana | Cote d'Ivoire |
Congo | DRC | Senegal | Guinea |
Burkina Faso | Tunisia | Algeria | Mali |
Gabon | Cape-Verde | Afrika Kusini | Cameroon |
Kila timu na kile ilichokifanya na hatua iliyofikia katika michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika tangua ilipoanza katika miaka ya 1962.
Nchi | Sifa au Kufuzu | Kushiriki | Matokeo bora |
Cape-Verde 5,6,7,8,9 | Ya kwanza katika kundi F | Mara 1 katika mwaka wa (2013) | Robo fainali mwaka 2013 |
Algeria | Ya kwanza katika kundi B | Mara 15, katika miaka (1968, 1980, 1982, 1984, 1986, 1988, 1990, 1992, 1996, 1998, 2000, 2002, 2004, 2010, 2013) | Mshindi mwaka 1990 |
Equatorial Gunea | Mwenyeji | Mara 1 katika mwaka wa (2012) | Robo fainali mwaka 2012 |
Tunisia | Ya kwanza katika kundi G | Mara 16 katika miaka ya (1962, 1963, 1965, 1978, 1982, 1994, 1996, 1998, 2000, 2002, 2004, 2006, 2008, 2010, 2012, 2013) | Mshindi mwaka 2004 |
Afrika Kusini | Ya kwanza katika kundi A | Mara 8 katika miaka ya (1996, 1998, 2000, 2002, 2004, 2006, 2008, 2013) | Mshindi mwaka 1996 |
Burkina Faso | Ya pili katika kundi C | Mara 9 katika miaka ya (1978, 1996, 1998, 2000, 2002, 2004, 2010, 2012, 2013) | Iliondolewa katika fainali mwaka 2013 |
Gabon | Ya kwanza katika kundi C | Mara 5 katika miaka ya (1994, 1996, 2000, 2010, 2012) | Robo fainali katika miaka ya 1996, 2012 |
Cameroon | Ya kwanza katika kundi D | Mara 16 katika miaka ya (1970, 1972, 1982, 1984, 1986, 1988, 1990, 1992, 1996, 1998, 2000, 2002, 2004, 2006, 2008, 2010) | Mshindi mara (4) miaka ya 1984, 1988, 2000, 2002 |
Zambia | Ya pili katika kundi F | Mara 16 katika miaka ya (1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1992, 1994, 1996, 1998, 2000, 2002, 2006, 2008, 2010, 2012, 2013) | Mshindi mwaka 2012 |
Senegal | Ya pili katika kundi G | Mara 12 katika miaka ya (1965, 1968, 1986, 1990, 1992, 1994, 2000, 2002, 2004, 2006, 2008, 2012) | Iliondolewa katika fainali mwaka 2002 |
Cote d'Ivoire | Ya pili katika kundi D | Mara 20 katika maika ya (1965, 1968, 1970, 1974, 1980, 1984, 1986, 1988, 1990, 1992, 1994, 1996, 1998, 2000, 2002, 2006, 2008, 2010, 2012, 2013) | Mshindi mwaka 1992 |
Ghana | Ya kwanza katika kundi E | Mara 19 maiak ya (1963, 1965, 1968, 1970, 1978, 1980, 1982, 1984, 1992, 1994, 1996, 1998, 2000, 2002, 2006, 2008, 2010, 2012, 2013) | Mshindi mara (4) 1963, 1965, 1978, 1982 |
Guinea | Ya pili katika kundi E | Mara 10 kataka ya (1970, 1974, 1976, 1980, 1994, 1998, 2004, 2006, 2008, 2012) | Iliondolewa katika fainali mwaka 1976 |
Congo | Ya pili katika kundi A | Mara 6 katika maika ya (1968, 1972, 1974, 1978, 1992, 2000) | Mshindi mwaka 1972 |
Mali | Ya pili katika kundi B | Mara 8 katika miaka ya (1972, 1994, 2002, 2004, 2008, 2010, 2012, 2013) | Iliondolewa katika fainali mwaka 1972 |
DRC | Ya tatu bora | Mara 16 katika maiak ya (1965, 1968, 1970, 1972, 1974, 1976, 1988, 1992, 1994, 1996, 1998, 2000, 2002, 2004, 2006, 2013) | Mshindi katika miaka ya 1968, 1974 |
Michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika imepangwa kuanza Januari 18 hadi Februari 7 mwaka 2015, na itachezwa katika viwanja mbalimbali nchini Equatorial Guinea.