Afrika Ya Mashariki
Mchakato wa kuunda mkoa mpya wa Chato nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:55
Leo tunaangazia juu ya mapendekezo ya kamati ya ushauri ya mkoa wa Geita, kuunda mkoa mpya wa Chato, nchini Tanzania. Geita imependekeza mkoa mpya wa Chato uundwe na baadhi ya wilaya za mikoa ya Geita, Kagera, Kigoma na Shinyanga.