Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki

Imechapishwa:

Katika Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, mtayarishaji wa makala haya amezungumza na Profesa Wetengere Kitojo, mtaalamu wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania, ambapo wanaangazia kuhusu tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki. 

Noti ya dola
Noti ya dola REUTERS/Athit Perawongmetha/File Photo
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.