Jumamosi iliyopita Rais wa Namibia Hage Geingob, alimtaja Netumbo Nandi-Ndaitwah kuwa mgombea wa chama tawala SWAPO katika uchaguzi mkuu wa mwakani. Ikiwa ataungwa mkono na kuchaguliwa atakuwa mwanamke wa tatu kuongoza nchi baada ya rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na Tanzania Samia Suluhu Hassan. Nini maoni yako kwa hatua hii? Unafikiri muda umefika kuendelea kutoa nafasi kwa wanawake kuongoza?
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13