Habari RFI-Ki
Rais wa Uganda avitaka vyombo vya usalama kuwashirikisha polisi na raia kuwasaka waasi wa ADF
Imechapishwa:
Cheza - 10:11
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametoa wito kwa vyombo vya usalama kuwashirikisha raia katika maswala ya usalama na kuwawinda waasi wa ADF wanaochangia usalama mdogo nchini na mashariki mwa DRC