Habari RFI-Ki
Jumuiya ya Afrika mashariki kukutana jijini Arsuha juma lijalo
Imechapishwa:
Cheza - 09:40
Wakati huu wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitazamiwa kukutana juma lijalo, Jumuiya hiyo imeonekana kuendelea kushindwa kutatua mizozo inayoikumba nchi wanachama.Na kwenye makala yetu tumejadili mengi ikiwemo nini cha ziada kifanyike kuboresha utendakazi jumuiya hiyo.Sikiliza.