Habari RFI-Ki
Transparency international yasema Afrika yashindwa kupambana na rushwa
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Ripoti ya hivi punde ya shirika la Transparency International, ambayo inaonesha kuwa mataifa ya Afrika hayapigi hatua kwenye mapambano dhidi ya rushwa.Tumekuuliza msikilizaji unadhani nini kinasababisha hali hii ? Unafikiri serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kupambana na rushwa?Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata maoni ya wasikilizaji wa RFI Kiswahili