Habari RFI-Ki
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.