Jukwaa la Michezo
Bingwa wa AFCON kufahamika siku ya Jumapili, je atakuwa Misri au Senegal ?
Imechapishwa:
Cheza - 20:17
Fainali ya mchezo wa soka kusaka bingwa wa Afrika, itawakutanisha Senegal na Misri siku ya Jumapili Februari 06 2022. Siku ya Jumamosi Februari 05 2022 , wenyeji Cameroon na Burkina Faso wanachuana kumtafuta mshindi wa tatu.